KAMA
KWELI WEWE NI REAL FUN WANGU MIMI KAMA ROMA NA UMEISIKIA
NIKIITAMBULISHA LEO CLOUDS FM MCHANA!! NA UNATAKA UIPATE UWE
NAYO ONYESHA LAV BASI KWA KUINUNUA NGOMA HII KWA NJIA HII YA
KISHKAJI TU KWA TSH. 3000/= ELFU TATU TU...
TUMA KWA TIGO PESA +255 717 720078 AU MPESA +255 762 893469 NITAKUTUMIA!!! ONYESHA USHABIKI
WA KWELI BASI TUAMINI NA TUTEMBEE KIFUA MBELE KUWA KWELI NINA
MASHABIKI REAL
48 comments:
Kama mnafirana vile wewe nyimbo utauzaje 3000 au mnazania watz shamba la bibi. sikatai watukununua single ile wekeni bei reasonable kidogo kweli mtu anunue nyimbo 3000 alafu album iweje????
aina ushanta
Kama vp choka mwambiea roma asikilize getto anunui m2 apa
iko powah bei people kwa wenzet wnauza uku mburula nying sana ila sinajiona zinajua mbay kisa zimezaliwa town.
wewe acha uxenge hyo nyimbo kama hutak kuiweka kwa mtandao kasikilize na familia yako hapa hakuna pesa za mchezo manina zako we
Sioni sababu ya ww kutukana kama vipi imba ww utoe nyimbo bure!
NYIMBO MPYA YA ROMA MKATOLIKI MPYA IITWAYO "2030" WAISLAMU TUNAIPIGA MARUFUKU DUNIA KOTE
Ameusifia na Kuuponda Uislamu pia.. Wewe kama Muisalmu kama unayo ifute na
usi Isambaze...Msahafu kukojelewa asema ni sawa yule mtoto hajui Kanisa kwaiyo waislamu tumefanya makosa kuchoma kanisa.Na isitoshe ametaja neno Allah katika Nyimbo hiyo.
Hii siyo mara ya kwanza kwa msanii huyu kuuimba mada Kuhusu Uislamu katika nyimbo zake au za kushirikishwa Kabla ya Nyimbo hii ameshawahi kutaja Aya ya Quran katika Maafa ya Mv spice
Tuma Ujumbe huu kwa watu wengi Kuhakikisha isisambae.Hii Nyimbo imetoka 28/12/2012.....Hakika Tunaatakiwa si kama waislamu kuonyesha Hatua kali ichukuliwe dhidi yake Kafiri Huyu
wah gwan bway
Kunakitu hamjajua, nilivyo elewa mimi, siokwamba roma anauza nyimbo ili apate pesa, ila anataka kujua nivp bas mnakubal kaz zake,. Romaeee ebwana mimi nataka hilo goma, kama ni gwara laaa, ntumie email EVAIDANCETARIMO@gmail.com, shapshuta jembe
katika watu wajinga wewe ni mjinga wa kwanza tena fala mchzi katoa bei che wewe kama bibi yako mkulima kafe mbele mbona malaya mna nunua hata buku teni acha uboya bwege wewe
Mbona no mlizoweka hata hazipatikan ama ndo utapeli mweupe?
unaeza ukawa shabiki lakn kwa hyo bei co ishu mzaz!
Silizen getto choka/roma
ucwe jinga la mwisho we boya unaexema ROMA anapondea Uislamu Ielewe mistari ili upate cha kuongea xio unakurupuka 2 kuongea vi2 ambavyo havielewek,ucpende kuchochea uwe unajiulza we unae chochea umejipanga ndo mnakuwaga wa kwanza kukimbia
ucwe jinga la mwisho we boya unaexema ROMA anapondea Uislamu Ielewe mistari ili upate cha kuongea xio unakurupuka 2 kuongea vi2 ambavyo havielewek,ucpende kuchochea uwe unajiulza we unae chochea umejipanga ndo mnakuwaga wa kwanza kukimbia
Poa.umesomeka roma
Ya bure ghali
wasenge mnapenda vya bure buku 3 kitu gani maanina zenu mnanunua malaya ambiance buku 10 mnashindwa buku3..via bongo lala mamluki kumanina zenu support hiphop revolutio
kk lazma nisupport unachokfanya
tutaonexha ushrikian0 kwa hili
wabongo wote mamluki afu huyo kilaza anaesema masuala ya dini yeye ndio mchokoz kumtaja allah ndo tatizo
Ss kama mtu amekutumia hela n hana email,hana sijui bbm,hana watsapp...ataipataje?idea ni nzuri sema ingekuwa poa kama ungesema jinsi mtu atakavyopata hyo song
Hahahaha dizain kama m'mebugi men nyimbo elfu 3,000 tuache kuna nyimbo zenye ujumbe kibao na zenye mda mwingi kuwa hewani sasa nitanunua lini nyimbo 3,000 ila wakinunua watu 20 sema nami nitainunua duh ila wasanii wakibongo kama mnajiona m'mefika wakati hata mbele hamjulikani
Hakuna anayependa bure ila bei ya bidhaa inatakiwa watu wamudu, bei ya hiyo nyimbo ni gharama. Kufananisha hii issue na Malaya ni sawa kufananisha maapple na machungwa. Kama umalaya rahisi nenda kauze m@&&du wako uone moto wake.
kweli uko sawa kuuza ngoma yako bt kwa tz bado hatujafikia ebu tupunguzie bwana
kweli uko sawa kuuza ngoma yako bt kwa tz bado hatujafikia ebu tupunguzie bwana
Elimu kitu muhimu kweli boya wewe "shamba la bibi" ni msemo ambao umaana ya kuwa kwenye shamba la bibi halina mwenyewe wajukuu hadi watoto wanavuna tu mazao ingawa sio Mali Yao. Halafu haya nimaoni tu povu jingi hujanunua copy hiyo bei ya single ipo juu hatukatai kununua ila sio kwa bei hiyo vipato vya watanzania wa kawaida ni vidogo na nyimbo za Roma ndo zinawalenga hao wa endeleze harakati ili Tanzania ifike mbali.
Kwahiyo boya elewa vitu ndo uje kukurupuka kwamwaga povu
We mbaguzi na mdini acha ushenzi Tanzania ni nchi inayoheshimu kila dini mawazo yako finyu yasilete chuki baina ya watu. Acha Allah atamuhukumu Roma vile anavyoona inastahili yeye kama kweli amekosea.halafu haya mambo ya waislam kupigana vita ya mungu sio ishu kama mtu anakosea kitu mungu atamwadhibu tu
Hebu jifunze kuandika vizuri mawazo yako
Oi inno kunatofauti ya mambo dunia, Roma anaimba kutokana msanii na msanii anaitaji hadhira na hadhira ndo Mimi na wewe. Ni mgawanyo wa kazi tu Mimi sitaki atoe bure ila aweke bei ambayo fans wengi watamudu ikiwemo wewe.
Dah jamaa kafanya tangazo ya nyimbo yake watu mmegeuza hii ni sehemu ku2kanana kweli WATANZANIA bado ha2jielewi
kuna wa2 wengine bana kama wametumwa vile suala la dini na wimbo wapi na wapi.inwezekana wewe ni kilaza hujaenda class coz hiyo nado kazi ya fasihi.Mbona kawasema viongozi wakubwa wengi tu hamkusema aje aseme dini ambayo hata baba ako hajui ilikotokea nyie mmerithishwa 2 afu kelele kibao we kuzi nini..Halafu watu kama hawa ndo wanafki na dini zao kama unaimani kweli huwezi kuchochea usenge kama huu just tangaza amani.Mbona wakina mzee simba hawaongeagi ila vidampa ambao hata aya za quran hamjui bali mmekariri tuu..wewe sio mtanzania inaelekea una imani ya kuiga na usije fanya hivo.swala tano malaya tuuuuuuuuuuuuu kafirwe huko...
Now dayz watu wanauza single zaidi kuliko album so shout outs to ya R.0.M.A
duh wabongo tunachonga sana thats why hatupigi hatua........hii biashara huru jamani!!!! huna nia ya kununua stay calm cuz sio kesi...pa1 roma
MPANGO MZIMA NI HUU HAMNA HAJA YA KULUMBANA ANAYEITAKA AKAE KIMYA NA ASIYE ITAKA AKAE KIMYA MTOKEO ATAYAPATA MWENYEWE KUWA WANGAPI WANA MKUBALI
Hivi huyu jamaa anaesema waislam sijui nn anatumia akili kufikiri kweli au huwa anafirwa hafu hayo matako yaliyofirwa ndo anayatumia kufikiria!! Hayo mambo ya kuchochea wakati unajua yakitokea ya kutokea wa kwanza kuteseka ni mwanamke na mtoto ambae ni Mama na mdogo wako ni sawa na kuwatoa kafara hawa kwaajili ya kutaka kutangazwa bbc ukome kenge wa blue wewe.
Mziki wake una thamani kuliko 3000 so Kama tunaweza tumsapoti.
Dini mmeikuta lkn mnataka kuifanya km mna hati mmiliki nayo(unashusha hadhi ya dini yako), abudu kwa nafasi yako subiri kifo chako ukapate hukumu yako. Usihukumu binadamu wengine hiyo sio kazi yako!!
wapo wasanii wanaofanya hiphop zaid ya roma ambao bei hyo ndio bei ya albamu kama vile one incredible,stereo,nikki mbishi,songa na getho ambasador 2menunua albamu ila kwa bei hyo ya single moko Roma hata kama 2napenda hip hop umeua mbaya fanya kama unaicheki hadhira inataka nini ila sio uitoe bure punguza hicho kiasia cha bei si tutaipakua aseeh
in short kwa wabongo wa kawaida Roma unaonekana kama kujifeel flan,we utauzaje wimbo kiivo au cause ushatoka? tutakurudisha undergroud!
Kiukweli sitaki ingilia mawazo ya mtu yoyote ila langu mimi cwezi nunua coz hata za akina cent huwa nadownload tu then me sio fans wa Roma angekuwa Ngosha au Stamina yes ningenunua lakini najua jamaa hawawezi fanya huo unyama coz haina tofauti saana na UFISADI.
NAONA MNATUKANANA WAKATI WIMBO UPO KWENYE BODA BODA ZA KUTOSHA NA BLOGS KITAMBO ME SIONI SABABU YA KUTUKANANA.
Daah, ebana kila unachokitaka lazma ukpiganie, so hata ukiandika oh mi co fun wa roma mara ctaki wimbo, hzo zote mbwembwe wimbo ndo unataka ila kesh ndo huna bas kama ni hvyo omba kupunguziwa 2.
Ebana ni blog gani ina wimbo huo?
Wengine hatujausikiriza huo wimbo kwan ukoje? Mpaka roma atake ela kupitia huo wimbo? Mbona kwenye mathematics hakutaka hata jero na wimbo umebamba?...samahan lakini
wewe ni mungu?uislamu uarabuniii hapa tz nchi haina dini hiii.
ACHENI UTOTO...SINGLE MPYA YA BRUNO MARS UKINUNUA CD UNAUZWA DOLA 7 ITAKUWA HIYO BUKU TATU...KAMA HUTAKI KUNUNUA USIONGEE KAA KIMYA...NDO NYINYI BAADAYE MNAWACHEKA WASANII HAWANA KITU
Mwenye akili timamu kwanza hawezi tukana.
Mwenye hofu ya mungu wala hawezitukana.
Mwenye kuipenda dini yake wala hawezi tukana.
Uliyetukana rudia chekechea, na kama u-mwaislamu, basi kuanzia leo wewe ni mpagani.
Post a Comment