22.11.13

Friday, January 04, 2013

(Audio) R.O.M.A - 2030


habari  mabibi  na mabwana!! poleni  na mihangaiko ya  siku!! naam
ijumaa  iliyopita  nilitoa  kibao   changu  maridhawa  kipya  kabisa  kinaitwa  2030!!!
na nilikiachia  kwa radio  stations zote  nchini  kadri  ya  uwezo wangu/wetu, though kutokana na mawasiliano  ni ngumu kufikia  radio  zote kwa wakati, ila  nyingi ziliupata!!!
lakini niliweka  utaratibu  fulani  kwa watakaohitaji  kuupata  huo wimbo 2030 mbali na radio basi wataupata  kwa  kussuport  kuununua  on line  kwa  tsh 3000/=!!nilishatangaza sana  mnafahamu!!ilikuwa  ni trial  ya kuona nani ana love ya kussuport na nani hana kupitia njia  zilizowekwa na sio njia  nyingine.
 zoezi  limeenda  kwa challenge  nyingi sana  asante  wote  waliossuport  katika  hili,  pia  asante  kwa wale  walioliharibu zoezi hili maana  imenifanya  nimtambue  hu z real na hu z fake!!!
imeniuma kuona wapo wasanii wanafanya  biashara  kama hii wanauza mix tapes, album,tisherts  zikiwa  zote  ni movements  za kuleta  changes  ktk mziki wetu, then hao hao wanakuwa mstari wa mbele kupinga hii movement yangu  halafu bila sababu yani dah SHALL WE MAKE IT?????
nway  lilikuwa  ni zoezi  lililopangwa kufanyika  kwa week moja 1 tu ili kuona na kufanya tathmini  kuwa  yanawezekana haya?najua  wengi wanasubiri feed back ya mauzo haya haikuwa  nzuri sana kwa  wingi wa nyomi nililokuwa nalo, lakini pia  haikuwa  mbaya maana  ni mageni haya..kwa  siku 7  za mauzo  ilikuwa kila  siku wananunua watu wasiopungua  50!! so  unaweza  ona  hapo  kuwa  yanawezekana  haya  tukiyawekea  mkazo...ILA SIAMINI KAMA KILA MSANII ANAWEZA  FANYA, INATEGEMEA  NA NGUVU YA MSANII HUSIKA NA KIBAO ALICHOKITOA..(IFIKIE KIPINDI  TUONGEE  UKWELI  TUU!!)wengi wameanza kufanya biashara  kupitia  nyimbo hii na inawanufaisha  wao, wengi wamerecord radio wimbo huu kitu kilichopelekea  kukosa quality na bado wanauzia  wengine so wanapewa kitu kisicho na quality, pia wengi  wanakwazika  na mengi yaliyoongelewa ndani ya wimbo huu na wanakosa majibu maana  wanakosa fursa ya kuusikia  mara  kwa mara kwasababu hawajaunga mkono hii movement!! au pengine  imekuwa ni njia  ngumu kwao kuupata,

basi  kwa  wale  waliossuport  kwa kuinunua  nawashukuru sana na mungu awaongezee mlipopungukiwa, najua  litatokea hili la kujiona wanyonge  kuwa  ROMA amechukua  fedha  zetu  na kisha ameachia  bure, mi naamini ukiwa muelewa na ukiona nilichokisema hapo juu  hautakwazika  as  long umeonyesha  lav yako kwa msanii unayemfeel, samahani sana kama nitakuwa  nimekukosea,nimefanya hivi  kama kuanzisha  hiki kitu  na naamini  wengine watafatia  na kukiboresha  zaidi!!LAZIMA  APOTEE  MMOJA  ILI KUMI WAISHI  VEMA NDIPO YATAPATIKANA MAENDELEO!!  AM SO SORRY!!!

 So leo wiki imetimia na wimbo  umetoka rasmi na hauuzwi tena kama ilivyotangazwa  awali.
unapatikana  bure  kwenye  net, download  via  access yoyote utakayoiona!! nimeutoa rasmi kwenye  blogs  mbali mbali  ANZIA NA YA DJ CHOKA,  na  nyinginezo!!
Na version  iliyopita  kuchezwa  radio  ni  version  ya  ROMA ile beat yake iliyochangamka ambayo ni version ya 1  ambayo  ndiyo ilikuwa ya kwanza kutambulishwa ijumaa pale  clouds fm radio.
kwa  maswali  zaidi  tutameet   kwenye  mainterviewz  huko maradioni na tutawekana sawa!!
samahanini  kwa  wote  niliowakwaza, asanteni  kwa  wote  mliossuport!!
ROMA  2030 INAPATIKANA FREE  SASA!!!

 ANAITWA STORY NDIYO HUYO ALIYEIMBA CHORUS YA 2030 
 (ILE SAUTI YA KITOTO KIDOGO NDO HUYU)

13 comments:

Anonymous said...

kinyesi kizuri babu, huu ndo wakati wa kuelezana manake watoto wetu kweli hawatakuta hata makombo kamanda. Nice job.

Anonymous said...

Nigga Roma needs to work on his flow paterns,ujumbe mzuri lakini tunaishia kusikia kelele zakee na same flow bila vionjo...step up nicca!..CHOKA FIKISHA HUU UJUMBE

Anonymous said...

Good music and good Idea mi nimeipenda kaza mwend R.O.M.A kama watu wamezungumza mambo ambayo si mazuri na wengine kufanya biasharabila idhini yako nawaambia wote waliofanya hivyo huu si uzalendo hebu tuwe wazalendo halafu tuone itakuwaje......ni hayo tu piga kazi Mpaka kieleweke

Unknown said...

NDO MAANA BAADHI YA WASANII HAWAENDELEI
KAMA NINYI KWA NYINYI
MNAKOSOANA
SISI TUTAFANYAJE!
DUH!
NGOJA NI DOWNLOAD NA MIMI
JAPO MCHAKATO ULIKUWA MZURI
ILA KWA MIMI
KUNUNUA SINGLE 1 KWA EF 3
LABDA MWAKA 2030
KAMA ULIVYOSEMA

Alexander Lyimo said...

Roma u r good bro... Anyone who dsnt respect aje kwngu nimpe darasa,,,, 2030 imetulia we need message not flow as long as ujumbe unafika..... Wanaheshimu Ramadhani wanazini mbele ya Shaaban hiiiiyyyyyooooo nimeipenda!!!

Anonymous said...

AMEBANA AMEACHIA!!!!!! HII NDO TANZANIA YEE MWENYEWE NDIE ALIEIMBA AFU AMEJISAHAU TENA,ALI2MIA AKILI KISODA SAHIZI NDO KAPEVUKA

yesyes said...

dogo ametisha mbaya

Anonymous said...

HII NGOMA IKO POA ILA IMEKUWA REFU KM MWISHO IMEPOTEZA LADHA HIVI,ILA NA HUYO MTOTO KAIPENDEZESHA, WELL DONE ROMA.

Anonymous said...

..ROMA una ujumbe mwingi wa kutosha ila dizaini kama huimbi...unakuwa kama unasema/unahutubia vile, kumbuka kuwa na tight flow....kama unahutubia bana halafu mwishoni unakuwa kama unaharakisha hv.

Unknown said...

as an mcee you are dowin good but one thing to remind u is that '' you are shouting behind the mic, au kuna mtu huwa unagombana naye kabla ya kuingia booth? hata kelele za FL studio kwa CUEBASe 5 na ASIO hazipo hivyo, panga vocal na siyo kelele kwa patterns zako wabongo watakuchoka si muda coz hutakuwa na tofauti na akina Madee walioshout kisha wakaishia! nataka mziki wako usichuje kama Afande, Fid na wengine kibao wa Hip Hop hapa Bongo, na ukiona vipi we kuja tu hapa mbagalani ntakupa jinsi ya kufanya na hits kibao tu toka my studio

wamitulinga said...

ROMA ACHA NISEME HILI, MSG YA WIMBO NI TIGHT SANA ILA KWA NINI FLOW ZINAKUA ZILEZILE KILA NGOMA WE MJAMAA?! BADILIKA BANA TUTAKUCHOKA PIA HATA BEAT ZOTE MBILI ILE YA MWANZO NA HII YA PILI ZOTE ZIMEPOOZA SANAA! HAZIENDANI NA SPEED YA FLOW KAMA ILE YA MATHEMATICS, BADILIKA MZEE! AM OUT!

Admin said...

Nakubali kazi yako ni bonge la nyimbo lenye ujumbe mkubwa kwa jamii Roma mkatoliki unajua Mziki

Anonymous said...

ujumbe mzuri sema 2 hiyo stayl ya ku flow 2shaizoea..2badlishie stayl nyingine