Thursday, February 14, 2013

Usikose kusikiliza THE PLAYLIST kila Jumapili TIMES FM

the PlayList ni show mpya Times fm 100.5 kila jumapili saa 10 mpaka 11 kamili jioni ambapo mastaa mbali mbali wa muziki, filamu, soka, mabondia, wanasiasa, maproducer, video directors na wengine kibao wanachagua na kucheza ngoma za bongo fleva, ngoma za kiafrika na ngoma za mbele.

Kitu kinasimamiwa na Lil Ommy (Omary Tambwe) 
twitter @LilOmmy, 

No comments:

Post a Comment