Chama cha bongo movies (Bongomovies
unit) kitazundua rasmi website yao iitwayo www.bongomovies.com siku
ya tamasha la linaondaliwa na kampuni ya steps entertainment
litakalofanyika tarehe ishirini (20) mwezi huu kwenye hoteli ya
Serena iliyopo Dar es salaam
Website hii ni maalumu kwa wapenzi wa
Filamu wote nchini kwani pamoja na habari rasmi za wasanii wa
bongo movies pia itatoa habari za maisha yao ya kila siku,
historia zao na Filamu zao zote kwa ujumla.
Kwa maelezo ya zaidi kuhusu tovuti hii
rasmi ya bongomovies wasiliana na:
Admin
Bongomovies.com
Cell: 0714
022929
Email: media@bongomovies.com
Imetolewa na:
Simon Mwapagata “Rado”
Mob: 0655 180888
Katibu – Bongomovies Unit.
No comments:
Post a Comment