22.11.13

Thursday, May 30, 2013

UPDATE: Taarifa ya kamati ya mazishi ya Albert Mangwair

Kwa ushirikiano na Shirikisho la muziki Tanzania zinasema kwamba mwili wa marehemu Ngwair utaletwa nchini siku ya tarehe moja (Jumamosi) na kuna mipango ya wapenzi na mashabiki wake kumuaga siku ya terehe 2 (Jumapili) katika eneo litakalotangazwa.

No comments: