22.11.13

Friday, July 19, 2013

(News) GirlLove wa MABESTE amejifungua mtoto wa KIUME

Muda huu hapa Mbezi Beach katika hosp ya MASANA mchumba wa msanii wa hip hop nchini Mabeste amejifungua mtoto wa kiume. Ni furaha sana aliyonayo Mabeste now na mungu ni mkubwa kwa kila jambo. Mungu awajalie maisha mapya wanayoyaanza kwa sasa na wamlee mtoto wao kwa amani na furaha tele

5 comments:

Anonymous said...

Hongera mabeste

Anonymous said...

Choka unamaneno mazuri jamani

john said...

HONGERA SANA KAKA MAZAZI KWA KULETEWA BUDAH

Anonymous said...

MAJEMBE YANAONGEZEKA SASA

Anonymous said...

Umeshajua sasa kuwa sio tasa,wapili awe ndani ya ndoa.