22.11.13

Thursday, August 01, 2013

MSHAURI MSANII WAKO: Leo tuko na msanii wa Bongo Movie "HEMEDY PHD"

Leo katika mada yetu ya kumshauri msanii tupo na msanii star wa Bongo Movie pamoja na Bongo Fleva anajulika kwa jina la HEMEDY SULEIMAN aka Hemedy PHD. Toa maoni yako sasa kipi unachomshauri ili ajitambue na aelewe mashabiki wake wanahitaji nini kutoka kwake au kipi ambacho unaona akiongeze katika sanaa yake hii ya Bongo Movie pia na kwenye Bongo Fleva

Unaweza pia kutoa maoni yako kupitia namba yangu ya SMS unaanza na kuandika DJCHOKA halafu unaacha nafasi kisha unatuma maoni yako kisha unatuma kwenda namba 15678

21 comments:

rama king said...

Huyu jamaa bwana me namzimia kinoma noma aisee. ila ananikera sana anakuwa anaringa kwa sisi mashabiki wake aache majivuno

Anonymous said...

Tuna wasanii wengi wanaojipenda mmoja wapo huyu PHD namkubali sana hata sina maoni

Jaq said...

I LOVE YOU KEEP DOING WAT U DOING

Anonymous said...

UkO jUU sAna ndugu yng.. ila kuna saa unaletaga mapozi kama ya mademu acha hiyo mambo kichaa wangu NAKUCHANA

Anonymous said...

Huyu jamaa anapenda sana kupiga picha za studio hadi anafurahisha...

Anonymous said...

tokea nimjue kupitia TUSKER PROJECT FAME hadi leo jamaa amesimamia pale pale safi sana

Anonymous said...

mimi namuona kama bado mshamba..

Anonymous said...

me namshauri aache kupaka lip shine

Anonymous said...

mbona SIKUHIZI UMEPUNGUZA KUCHEZA MOVIE AU NDIO MKWANJA KWISHA

Gbro said...

Jamaa kuna kitu kimoja tu uwa anaharibu na kupoteza fans wengi, ana mapozi ya kijinga sana mpaka uwa yanapitiliza. Ila kiukweli anajitahidi sana kwenye sanaa ya movie, bongo flava awaachie wenyewe. Nilimpa credit sana kwenye Crazy love ya kanumba.
Acha mikogo isiyokuwa na maana

Anonymous said...

Dah!!ktk watu wnye vpaji huyu jamaa mmoja wpo coz anajua anachokifanya yaan mi namrspect xana 2 but akazane game iko tight c film wala music,hyo 2

Anonymous said...

mm namshauri haache kujipodoa 2

Anonymous said...

mm namwomba haache kujipodoa 2 bac

Unknown said...

Aumize sana kichwa kwenye kuandika mistari alafu kama aache mapozi kwa mafans wake ni hayo

Unknown said...

Aumize sana kichwa kwenye kuandika mistari alafu aache pozi kwa mafans wake ni hayo tu nukta (.)

Unknown said...

Good music alive

Anonymous said...

Kama huna cha maana cha kumshauri kausha inazingua mwana sa jamaa wa watu ansushamba gani? Huo wivu jifunze ku appreciate

Anonymous said...

Uko vizuri phd me nakukubali ila una pozi na swaga za kizembe mpk kwa mashabiki zk,,,,,,utapoteza ustaa ukiendelea na hiyo tabia

Unknown said...

anamapoz zaid ya mr.blue

Anonymous said...

Kwanza music aache na ajikite kwenye movie pili aache mapozi ya kishamba ana mapozi mpaka anakera na aache kuvaa hereni

Anonymous said...

Soma hapa hemedy!!!! Wapo wengi walikuwepo na tena maarufu kukuzidi leo hii wamedoda ila wanajitahd kurudsha hadhi...mfano mmj tu Irene Uwoya wa miaka mitatu huwez kumfananisha na huyu wa leo...dharau zilizd na kuona mashabk vo kitu...ona leo anavohaha kurudisha jina... I swear to God ww kaka usipoacha mapozi utakufa kisanii.. watu wanakupenda sana tena sana..u know how to act thou kuimba hujui... take a tym...think before hali haijawa mbaya.... zipo wapi tamthiliya za kaole!????