Diamond Platinum baada ya kumaliza kutambulisha video ya wimbo wake
mpya Number One kwa heshima aliamua kumwita mbele msanii mkongwe
'Ngurumo' na kumkabidhi gari ya aina ya Funcargo
Sababu za kumpa gari alisema amesikitishwa sana baada ya kusikiliza Ngurumo toka enzi za ujana wake hajawahi kumiliki gari mpaka kustaafu kwake
Sababu za kumpa gari alisema amesikitishwa sana baada ya kusikiliza Ngurumo toka enzi za ujana wake hajawahi kumiliki gari mpaka kustaafu kwake
3 comments:
Maisha ni kusaidiana kitendo aliyo kifanya daimond cha kumkabidhi mzee GRURUMO gari ni kitendo kizuri sana.
Big up sana DAIMOND PLATNUM
Its me Thadeo from MOBILETZ.COM
mbona tu pouwa
Nakubaliana na wewe asilimia mia@mobiletz. Bigup sana Diamond umetoa mfano mzuri sana ambao unaonyesha upendo katika sanaa.
Post a Comment