Kaimu Mganga Mkuu wa hospitali ya Mkoa wa Morogoro Dkt.Rita
Lyamuya(kulia)akipokea msaada wa Mashine ya Cardiac Monitor kutoka kwa
Meneja wa Benki ya KCB tawi la Morogoro Bi.Hogla Laiser.
Swaumu Hassani ambaye ni Mama mzazi wa Mtoto Ibrahim Salum akishuhudia
mwanae akipatiwa vipimo kupitia mashine ya Cardiac Monitor na Dkt.Haroun
Nyagori ambaye ni bingwa wa Magonjwa ya moyo katika hospital ya Mkoa wa
Morogoro,Mashine hiyo yenye thamani ya shilingi Milioni 12 ilitolewa
msaada na Benki ya KCB tawi la Morogoro hapo jana,anaeshuhudia kulia ni
Kaimu Mganga Mkuu wa hospitali hiyo Dkt.Rita Lyamuya.
Dkt.Haroun Nyagori ambaye ni bingwa wa Magonjwa ya moyo katika Hospital
ya Mkoa wa Morogoro,akielezea umuhimu wa mashine ya Cardiac Monitor
yenye thamani ya Tsh Milioni 12 mara baada ya kupokea msaada wa mashine
hiyo toka kwa Meneja wa benki ya KCB tawi la Morogoro Bi.Hogla Laiser
(katika )
Baadhi ya wafanyakazi wa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro na wafanyakazi wa
Benki ya KCB tawi la Morogoro wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada
ya makabidhiano rasmi ya Mashine moja ya Cardiac Monitor iliyotolewa
msaada na Benki hiyo hapo jana.
1 comment:
Shukrani kcb
Post a Comment