22.11.13

Sunday, August 18, 2013

(Photo's) Kilimanjaro Music Tour 2013 ilivyobamba Mwanza

Maelfu ya mashabiki wa jiji la Mwanza waliojitokeza uwanja wa CCM Kirumba kuwashuhudia wakali wa Muziki katika Kilimanjaro Music Tour 

Msanii wa Ragga Dabo ndiye aliefungua rasmi show ya Kili Music Tour 2013

Rais wa masharobaro Bob Junior jukwaani na madansa wake 

Snura mamaa wa majanga

 Ali Tall maarufu kama AT akiwaduarisha wakazi wa Mwanza katika jukwaa la Kikwetu kwetu

 Mkali wa R&B Ben Pol akiwaimbisha mashabiki wake

 Roma Mkatoliki alikuwa msanii wa kwanza wa Hip Hop kupanda jukwaani.

 Lady Jaydee akiwasha moto katika jukwaa la Kili Music Tour huku akipewa kampani na Profesa Jay katika wimbo wa Joto Hasira

 Mshindi wa tuzo 3 katika Kili Music Awards 2013 Kala Jemremiah akithibitisha ubora wake jukwaani.

  Diamond Platnumz akiwapagawisha mashabiki wake

Mtoto wa nyumbani Fid Q "Ngosha akifunga show ya Kili Music Tour 2013 jijini Mwanza

6 comments:

Anonymous said...

mmetisha sana aisee

Anonymous said...

nilipenda show ya BOB

Anonymous said...

Kwaukweli show iliboa haikuwa na jipya rafiki zangu waliondoka kabla hata show haijamalizika

Unknown said...

Bob junior ben Pol n fid q bic up coz mlipiga show vizurii

Unknown said...

Bob junior ben Pol n fid q bic up coz mlipiga show vizurii

Anonymous said...

dahhh bob junior alifunikaaa bayaaaa sana,bonge la show kafanya big up sana kwake and dancers wake pia