22.11.13

Tuesday, August 13, 2013

(Photo's) Yaliyojiri kwenye mazishi ya BILIONEA ERASTO SAIMON MSUYA huko ARUSHA.

 Wakati unaingia nyumbani kwa bilionea Erasto Msuya hili ndio bango lililokua limewekwa.

 Hapa utaratibu wa kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa Maremu Erasto Msuya.

 Hii ndio nyumba ya milele ya bilionea Erasto Msuya ikiandaliwa.

Kwa picha za matukio zaidi kuhusiana na mazishi ya bilionea Erasto endelea kutembelea www.kingjofa.blogspot.com 

6 comments:

Anonymous said...

RIP Bilionea wetu

Anonymous said...

duh hata siamini kwa kweli

Anonymous said...

Siamini.hakuna aliyekuwa mshauri mzuri kama wewe

Anonymous said...

Jaman kama uhai ungekuwa unanunuliwa bas huyu jamaa angenunua!

Anonymous said...

Jaman kama uhai ungekuwa unanunuliwa bas huyu jamaa angenunua!

DSM said...

My The Lord rest you in peace E.Msuya