22.11.13

Tuesday, September 24, 2013

(Habari zilizotufikia) NDOA YA BLACK RHINO IMELETA MATUNDA MAZURI KWENYE FAMILIA.

 Msanii wa Hip Hop nchini ambaye pia ni mdogo wa Prof Jay anajulikana kwa jina la BLACK RHINO mungu amemjalia mke wake amejifungua mtoto wa kike nusu saa iliyopita katika hosp ya Muhimbili Dar es Salaam. Rhino anasema mke wake amejifungua kwa njia ya kawaida na wote wako salama kabisa. Stay tune kwa picha za mtoto zinakuja muda si mrefu

No comments: