JC-RECORDS ni studio ya kurekodi na kuandaa mziki, pamoja na shughuli mbalimbali za kitaalamu za nyenzo sauti.
Kazi zetu zinabeba ubora wa kipekee na tumejikita katika kufanya kazi nzuri na kuweka kiwango kipya katika shughuli zote, hususani kuandaa na kurekodi kazi zote za kitaalamu za mziki na zinazohusu nyenzo sauti.
Tuko Tabata njia Majumbasita/Kinyerezi, Mkabala na Bragaza Village Company/Mid Way Secondary.
Tupigie simu: 0712/0713 266865, 0789 333646 na 0784 670 341.
Email: jc.records@yahoo.com
Facebook: www.facebook.com/recordsJc
Twitter: @RecordsJc
5 comments:
This is awesome stuff big up to JC Records
Well done mr n mrs magulya
this is great.
Hoping for the good music... Big up Jc-records
Hot thing in Town has landed......
Post a Comment