Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania,Bw.Matina Nkurlu kushoto
akifuatilia kwa umakini jinsi Afisa Udhamini na Matukio wa Vodacom
Tanzania Ibrahim Kaude, anavyomuelekeza Bw. Mweusi Mohamed Mweusi, namna
ya kifaa cha kuchajia
simu kwa kutumia umeme wa Jua (Readset Solar Charger)kinavyounganishwa
na kuanza kufanya kazi leo Katika banda la kampuni ya Vodacom lililoko
katika maonesho ya Wiki ya Huduma za kifedha na uwekezaji
yanayofanyika katika viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar
es Salaam
Mmoja wa maofisa wa Vodacom akitoa maelezo kwa baadhi ya wajasiriamali
wanaopata mafunzo katika maonesho ya Wiki ya Huduma za kifedha na
uwekezaji yanayofanyika katika viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar es
Salaam, Kampuni ya
Vodacom imetoa mafunzo kwa wajasiriamali hao ya namna ya kujiunga na
kunufaika na fursa ya mikopo isiyokuwa na riba inayotolewa kwa wanawake
wajasiriamali wadogowadogo MWEI.
No comments:
Post a Comment