22.11.13

Thursday, September 19, 2013

(News) Washindi 35 Wapatikana Kwenye Droo ya Vodacom ya RBT

 Meneja Huduma za Ziada wa Vodacom Tanzania, Matthew Kampambe (katikati) akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuwatangaza washindi 35 wa droo ya miito ya simu iliyozinduliwa na kampuni ya Vodacom wiki iliyopita. Kupitia droo hio, wateja watano wanajishindia shillingi 50,000 kila siku. Kulia ni Bw. Salum Mwalimu, Meneja Mahusiano ya Nje wa Vodacom na kushoto ni Mw. Mrisho Millao, Ofisa wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha.

Meneja Mahusiano ya Nje wa Vodacom Tanzania, Bw. Salum Mwalimu (kulia) akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuwatangaza washindi 35 wa droo ya miito ya simu iliyozinduliwa na kampuni ya Vodacom wiki iliyopita. Kupitia droo hio, wateja watano wanajishindia shillingi 50,000 kila siku. Katikati ni Meneja Huduma za Ziada wa Vodacom Tanzania, Matthew Kampambe na kushoto ni Mw. Mrisho Millao, Ofisa wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha.

 Meneja Huduma za Ziada wa Vodacom Tanzania, Bw. Matthew Kampambe (katikati) akizungumza na mmoja wa washindi wa shillingi 50,000 kwenye simu wakati akichezesha droo ya miito ya simu iliyozinduliwa na kampuni ya Vodacom wiki iliyopita. Kupitia droo hio, wateja watano wanajishindia shillingi 50,000 kila siku. Kulia ni Bw. Salum Mwalimu, Meneja Mahusiano ya Nje wa Vodacom na kushoto ni Mw. Mrisho Millao, Ofisa wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha.

No comments: