22.11.13

Monday, September 30, 2013

(News) WAZIRI WA NCHI OFISI YA WAZIRI MKUU AIPONGEZA VODACOM KWA KUWA NA DHAMIRA YA DHATI YA KUDHAMINI MAONESHO YA KIFEDHA NCHINI

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji Dkt. Mary Nagu(kulia)akimkabidhi kombe la Udhamini Mkuu wa Maonesho ya wiki ya Huduma za Kifedha na Uwekezaji,Mkuu wa Idara uendelezaji biashara ya M - Pesa wa Vodacom Tanzania, Jackson Kiswaga(Kushoto) wakati wakufunga maonesho hayo yaliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja mwishoni mwa wiki.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji Dkt. Mary Nagu,akimsikiliza Mkuu wa Idara uendelezaji biashara ya M - Pesa wa Vodacom Tanzania, Jackson Kiswaga  akimwelezea jinsi huduma ya M pesa  kupitia Mradi wa Mwei inavyowawezesha wajasiriamali wanawake kupata mikopo isiyokuwa na riba katika maonesho ya wiki ya huduma za kifedha na Uwekezaji,mwishoni mwa wiki.

No comments: