Kama alikuwa aamini kilichotokea hivi lakini ndio kimeshatokea pale mtu mzima DJ CHOKA alivyoitwa mbele na MC ambaye alikuwa Gadna G Habashi na kuwaamuru watangazaji hao wa Times FM kumuimbia wimbo wa Bday na baada ya hapo ndipo zilishuka ndoo za maji zikiambatana na vimiminika vya baridi na kila aliyekuwa ameshikilia mvinyo vilimuendea Choka. Enjoy picha hizi zilizopigwa katika tukio hilo.
No comments:
Post a Comment