Ijumaa hii pale New Maisha Club Dar kutakuwa na uzinduzi wa kufa mtu ya show mpya ambayo inawakusanya watu wawili, namzungumzia DJ pamoja na mpiga DRUM njoo uone mabadiliko ya entertainment. Hapa #DVJMajay halafu pembeni kwenye Drum yupo #ZunguTheDrummer
Uwiiiiiiiiiiiiiii Natetemekaaaaaaaaaaaaaaa #hadiRAHA
No comments:
Post a Comment