Najua unajua ila nataka kukujuza zaidi kwamba hizi ndizo kazi alizozitengeneza Dir wa video hapa bongo anaitwa NISHER @nisherbybee hadi hivi sasa na nyingine bado hazijatoka kama utaangalia vizuri kuanzia kwenye video ya SUMU hizo zilizobakia zote ndio zinatakiwa kutoka sasa.
1 comment:
Yap najua unaweza poa sana joh....!ila me ni underground star so nahitaji sapot yako nisher (+255 714 665989 cal me shyner
Post a Comment