Meneja
Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Bw.Matina Nkurlu(katikati)akimuonesha
namba ya simu Msimamizi wa bodi ya Michezo ya kubahatisha
nchini,Bw.Abdallah Hemed,aihakiki kabla ya kumpigia mmoja kati ya
washindi(5)aliejishindia
Pikipiki katika promosheni ya”Timka na Bodaboda”inayoendeshwa na
Vodacom Tanzania,Jumla ya washindi(5)wamejishindia Pikipiki na
wengine(2)wamejinyakulia shilingi Milioni moja moja.Ili kujiunga na
promosheni hii
TUMA NENO PROMO kwenda 15544,kushoto ni Afisa wa huduma za ziada wa kampuni hiyo Rashid Maggid.
Meneja Uhusiano wa Vodacom
Tanzania,Bw.Matina Nkurlu,akisisitiza jambo kwa waandishi wa Habari
(hawapo pichani)kuhusiana na umuhimu wa watanzania na wateja wa Vodacom
kushiriki katika Promosheni ya ”Timka na Bodaboda”Jumla
ya washindi(5)wamejishindia Pikipiki na wengine(2)wamejinyakulia
shilingi Milioni moja moja.Ili kujiunga na promosheni hii
TUMA NENO PROMO kwenda 15544,kulia ni
Msimamizi wa bodi ya Michezo ya kubahatisha nchini,Bw.Abdallah Hemed.
Mshindi
wa Pikipiki katika Promosheni ya”Timka na Boda Boda”Bw.Dominick
Leonard,mkazi wa jijini Dare s Salaam akionesha funguo wake wa pikipiki
mara baada ya kukabidhiwa na
Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania,Bw.Matina Nkurlu(kulia)
Jumla ya washindi(5)wamejishindia Pikipiki na wengine(2)wamejinyakulia
shilingi Milioni moja moja katika droo ya leo.Ili kujiunga na promosheni
hii
TUMA NENO PROMO kwenda 15544,anayeshuhudia kushoto ni
Afisa huduma za ziada wa kampuni hiyo Rashid Maggid.
Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Bw.Matina Nkurlu,akimvisha kofia ngumu(Helmet) Mshindi wa Pikipiki katika Promosheni ya”Timka na Boda Boda”Bw.Dominick Leonard,mkazi
wa jijini Dare s Salaam.Jumla
ya washindi(5)wamejishindia Pikipiki na wengine(2)wamejinyakulia
shilingi Milioni moja moja katika droo ya leo.Ili kujiunga na promosheni
hii
TUMA NENO PROMO kwenda 15544,kushoto anayeshuhudia ni Afisa huduma za ziada wa kampuni hiyo Rashid Maggid.
Meneja Uhusiano wa Vodacom
Tanzania,Bw.Matina Nkurlu,(kulia mwenye shati jekundu)akiwatambulisha
baadhi ya washindi(6)wakazi wa jiji la Dar es Salaam waliojishindia
pikipiki
katika Promosheni ya”Timka na Boda Boda”inayoendeshwa na Vodacom Tanzania,Katika droo ya leo washindi(5)wamejishindia Pikipiki na wengine(2)wamejinyakulia shilingi Milioni moja moja.Ili kujiunga
na promosheni hii TUMA NENO PROMO kwenda 15544
Baadhi
ya washindi wa pikipiki ambao ni wakazi wa jiji la Dare s Salaam,
wakiziendesha pikipiki zao kwenye makao makuu ya kampuni ya Vodacom
yaliyopo Mlimani city walizojishindia
katika Promosheni ya ”Timka na Boda Boda” inayoendeshwa na kampuni hiyo
mara baada ya kukabidhiwa na Meneja Uhusiano wa Umma wa kampuni hiyo
Bw.Matina Nkurlu(hayupo pichani)
Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Bw.Matina Nkurlu,akimvisha kofia ngumu(Helmet) Mshindi wa Pikipiki katika Promosheni ya”Timka na Boda Boda”Bi.Hellen Egbertbaada
ya kuwakabidhi washindi (5)pikipiki zao mara baada ya kuibuka washindi kakatika promosheni hiyo .
Jumla ya washindi(5)wamejishindia Pikipiki na wengine(2)wamejinyakulia
shilingi Milioni moja moja katika droo ya leo.Ili kujiunga na promosheni
hii TUMA NENO PROMO kwenda 15544.
Mshindi
wa Pikipiki katika Promosheni ya”Timka na Boda Boda”Bw.Dominick
Leonard,mkazi wa jijini Dare s Salaam akiwasha pikipiki yake
aliyejishindia katika promosheni hiyo
mara baada ya kukabidhiwa na Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom
Tanzania,Bw.Matina Nkurlu(kulia)
Jumla ya washindi(5)wamejishindia Pikipiki na wengine(2)wamejinyakulia
shilingi Milioni moja moja katika droo ya leo.Ili kujiunga na promosheni
hii TUMA NENO PROMO kwenda 15544,anayeshuhudia kushoto ni
Afisa huduma za ziada wa kampuni hiyo Rashid Maggid.
35 watimka na Boda Boda za Vodacom
Dar es Salaam, 24 Septemba, 2013 …
Hakika maisha ya maelfu ya Watanzania yanaendelea kuboreshwa siku hadi siku, haya yote ni kupitia”Promosheni ya
Timka na Boda Boda”inayoendeshwa na kampuni inayoongoza nchini ya Vodacom Tanzania. Jumla ya Watanzania 35 wamejishindia usafiri wa pikipiki maarufu kama bodaboda.
Meneja
Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania Matina Nkurlu, amesema siku zote
Vodacom imekuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha inaboresha maisha
ya wateja wake ambao mchango wao umeifanya kampuni hiyo kuendelea kuwa
namba moja kupitia Promosheni mbalimbali wanazoziendesha.
“Lengo
letu sisi kama Vodacom ni kuhakikisha tunaendelea kuimarisha maisha ya
wateja wetu ambao wamekuwa wakituunga mkono siku zote, Tunaamini kuwa
kwa kuboresha maisha ya wateja wetu kutoka katika faida tunayoipata ili
kuwawezesha wao kuendelea pia kutuunga mkono siku hadi siku na kwa
nguvu zaidi,” alisema Nkurlu na kuongeza
“Tumetambua
tatizo kubwa la ugumu wa maisha unaoikabili jamii ya Watanzania
hususani Vijana, hivyo kupitia zawadi hizi za Pikipiki zenye gharama
ya zaidi ya Bilioni 1.6 wananchi wataweza kujiajiri huku wakipunguza
gharama za usafiri, aliongeza.
Nkurlu
amesema Watanzania wengi wamekuwa na ndoto za kuendesha maisha yao
kupitia shughuli za ujasiriamali ambapo kwa kutambua hilo wametoa fursa
hiyo ili kutimiza matajario yao yenye lengo la kujikwamua kwenye
umaskini.
Hadi
sasa takwimu za washindi zinaonesha kwamba kati ya Bodaboda 30
zilizoshindaniwa 8 kati ya hizo zimeenda Mkoani Arusha ambapo karibia
washindi
wake wote wajasiriamali jambo ambalo limeleta mrejesho wa promosheni
hii.
Kwa
upande wake mmoja wa washindi wa Promosheni hiyo Ramadhani Saidi
Shabani (40) akizungumza kwa njia ya simu kutoka Arusha alisema
anaishukuru
Kampuni ya Vodacom kwa kumpatia fursa ya kuweza kujishindia usafiri
huo.
“Najisikia
Fahari kuwa mteja wa Vodacom, wameniboreshea maisha yangu kwa kunipa
nafasi ya kujishindia Boda Boda sasa nina uhakika wa
kuboresha maisha yangu huku nikipunguza gharama za fedha nilizokuwa
nikizitumia kwa kusafiri kutoka eneo moja hadi nyingine,” Alisema
Shabani.
Katika Promosheni hii ya
Timka na Boda Boda kampuni Vodacom imetenga jumla ya bodaboda 430
kwa kipindi cha siku 100. Ili kupata nafasi ya kujishindia bodaboda
hizo, na shilingi milioni moja kila siku mteja wa Vodacom atatakiwa
kutuma ujumbe wenye neno PROMO kwenda 15544.
Mwisho...
No comments:
Post a Comment