Baadhi ya wanafunzi wa sekondari ya Oysterbay jijini Dar es Salaam,
wakibeba viti na meza mara baada ya kukabidhiwa msaada huo na benki ya
KCB Tanzania.Jumla ya meza na viti 131 vilitolewa msaada katika shule
hiyo
Meneja Uhusiano wa Umma wa benki ya KCB Tanzania,Bi. Hellen Siria
akisalimiana na mmoja wa wanafunzi wa sekondari ya Oysterbay jijini Dar
es Salaam,alipofika shuleni hapo kuwakabidhi msaada wa meza na viti
131,vyote vyenye thamani ya shilingi Milioni 121.Vilivyotolewa msaada na
benki yake.
Meneja Uhusiano wa Umma wa benki ya KCB Tanzania,Bi. Hellen Siria
akimkabidhi Mkuu wa Shule ya sekondari ya Oysterbay Bi.Gradius Mhina
msaada wa meza na viti 131, Vilivyotolewa na benki hiyo,wanaoshuhudia ni
wanafunzi wa sekondari hiyo.Jumla ya madawati 731 yenye thamani ya
shilingi Milioni 121 yalitolewa msaada katika shule za msingi
Makumbusho, Mbuyuni, Mkunguni,Hananasifu Msasani B ,sinza na sekondari
ya oysterbay zote za Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment