22.11.13

Wednesday, October 09, 2013

(News) DIAMOND na WEMA SEPETU ndani ya movie hii "TEMPTATIONS"

Leo ilikuwa kama gumzo katika account ya Instagram baada ya kuonekana picha hizi Diamond akiwa na Wema Sepetu pande za China. Mengi yalisemwa hadi wengine kudiriki kumtukana Penny ambaye ndio wa Diamond lakini ukweli ni kwamba hii ni movie mpya kabisa iliyochezwa na Diamond akiwa na Wema Sepetu na hakuna kingine kinachoendelea tena hapa ni kazi tu. 
Namnukuu Diamond akiyasema maneno haya

Hebu tujifunze kubadilika, inamaana watu mkiwa hamko
 kimahusiano ya Mapenzi basi msizungumze ama Kushiriki kwa chochote? 
Futeni huo uzamani na Mbadilike, inamaana 
Mnapenda kuona watu wanauadui... nimuda
 wa kufanya kazi ili Kulipa sifa na heshima Taifa la Tanzania
 na si kuekeana chuki zisizo nanfaida..
I REAL LOVE MY PENNY,SIJARUDIANA NA WEMA.

7 comments:

Anonymous said...

Movie bafuni na camera ya samsung...,movie watu wawili tuuuu, dahhh. Ukiona manyoya uje kashaliwaa!

Unknown said...

duuuh kwel hyo movie

Anonymous said...

Limbuken wa umaarufu!

Anonymous said...

Kaka utaumbuka mwisho wa cku, diamond na wema waache. Muvi scene za malavdav tuuu, na huyu babu wa kichina yupo jaman SAMAHAN LKN

Unknown said...

Duh! Magezeti ni ya diamond na wema na instagram ni ya diamond na wema ambaka china hong kong ni diamond na wema hatari xana what hel dis iz?

Anonymous said...

ata na pen alixema anacheza nae muv xo kaitafute xokon then ndo useme na iyo ni muv .bt wema ,diamond ndo habar ya mjini wanapendezajeeeeeeee huyo pen asijifanye mtanga cku izi kila mtu mtanga aaache mambo ya kizaman

Anonymous said...

Movie gani ya watu wawili