Aliyeshikilia msalaba ni Dkt Misanya Bingi mtangazaji wazamani ambaye na yeye pia alifanya kazi na marehemu Julius Nyaisangah pale Radio One
Dkt Reginard Mengi mwenyekiti wa makampuni ya IPP akitoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa marehemu Julius Nyaisangah kabla haujasafirishwa kuelekea kijijini kwao Tarime mkoa wa Mara kwa mazishi
Picha zaidi ingia HAPA
No comments:
Post a Comment