22.11.13

Wednesday, October 30, 2013

(News) MAWAKALA WA VODACOM WAENDELEA KUFAIDIKA NA "MKWANJA KWA MAWAKA" NCHI NZIMA

 Wakala wa M-PESA Miembeni Unguja Zanzibar Bw.Salum Omar (kushoto)akipokea cheti cha utambuzi na fedha kiasi cha shilingi 100,000 toka kwa Meneja wa Vodacom Zanzibar Mohamed Mansour,alijishindia fedha hizo katika Promosheni ya “Mkwanja kwa Wakala” yenye lengo la kuboresha maisha ya mawakala wa kampuni ya Vodacom Tanzania.Kampuni hiyo  imetenga kiasi cha fedha cha Shilingi Milioni 810 mahususi kwa mawakala wake, ikiwa ni sehemu ya kutambua na kuthamini Mchango wao kwa jamii ya watanzania na kampuni hiyo.

 Wakala wa M-PESA Gizenga Street Miembeni Unguja Zanzibar Bw.Joseph Kisali(kushoto)akipokea hundi yenye thamani ya shilingi 100,000 toka kwa Meneja wa Vodacom Zanzibar Bw.Mohamed Mansour,alijishindia fedha hizo katika Promosheni ya “Mkwanja kwa Wakala” yenye lengo la kuboresha maisha ya mawakala wa kampuni ya Vodacom Tanzania.Kampuni hiyo  imetenga kiasi cha fedha cha Shilingi Milioni 810 mahususi kwa mawakala wake, ikiwa ni sehemu ya kutambua na kuthamini Mchango wao kwa jamii ya watanzania na kampuni hiyo.

 Meneja wa Vodacom Zanzibar Bw.Mohamed Mansour(kulia)akimkabidhi hundi yenye thamani ya shilingi 100,000 wakala wa M-PESA Mwanakwerekwe Unguja Zanzibar Bw.Ali Mohamed alijishindia fedha hizo katika Promosheni ya “Mkwanja kwa Wakala” yenye lengo la kuboresha maisha ya mawakala wa kampuni ya Vodacom Tanzania.Kampuni hiyo  imetenga kiasi cha fedha cha Shilingi Milioni 810 mahususi kwa mawakala wake, ikiwa ni sehemu ya kutambua na kuthamini Mchango wao kwa jamii ya watanzania na kampuni hiyo.

 Meneja wa Vodacom Zanzibar Bw. Mohammed Chanila(kushoto)akimkabidhi hundi yenye thamani ya shilingi 100,000 wakala wa M-PESA Nassor shop  Kagongwa Kahama Bi.Jesca Silas alijishindia fedha hizo katika Promosheni ya “Mkwanja kwa Wakala” yenye lengo la kuboresha maisha ya mawakala wa kampuni ya Vodacom Tanzania.Kampuni hiyo  imetenga kiasi cha fedha cha Shilingi Milioni 810 mahususi kwa mawakala wake, ikiwa ni sehemu ya kutambua na kuthamini Mchango wao kwa jamii ya watanzania na kampuni hiyo.

Wakala wa M-PESA Kibaigwa Kongwa, Mpwapwa Bw. Victor Moses Nnko,akiwa amepozi na hundi yake yenye thamani ya shilingi 100,000 aliyojishindia katika Promosheni ya “Mkwanja kwa Wakala” yenye lengo la kuboresha maisha ya mawakala wa kampuni ya Vodacom Tanzania.Kampuni hiyo  imetenga kiasi cha fedha cha Shilingi Milioni 810 mahususi kwa mawakala wake, ikiwa ni sehemu ya kutambua na kuthamini Mchango wao kwa jamii ya watanzania na kampuni hiyo.

No comments: