22.11.13

Tuesday, October 29, 2013

(News) Mtarajie msanii huyu wa kike "CINDY RULZ" kushuka na wimbo mkali

Mwanadada Cindy Rulz hivi karibuni anatarajia kuachia ngoma yake mpya kabisa akiwa amemshirikisha producer mkongwe hapa Tanzania Dunga. Ngoma inakwenda kwa jina la LET`S WAIT   kitu ambacho kimepikwa na vichwa viwili katika music production Dunga na Lamar toka Fishcrab cook out. Endelea kuwa nasi kupata mengi zaidi juu ya mwandada huyu au pia waweza kumfuata Instagram na Twitter @cindyrulz.

No comments: