Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania, Salum Mwalim, akizungumza na
waandishi wa Habari (Hawapo Pichani) Wakati wa kutangaza washindi wa
Promosheni ya "Mkwanja kwa Wakala" ambayo inalenga kutambua na
kuthamini mchango wa Mawakala wa M pesa kwa kuwapa nafasi ya
kujishindia fedha taslim kila wanapofanya miamala ya fedha kwa wateja
huduma hiyo.Pamoja nao katika picha (Kushoto) ni Mkuu wa Kitengo cha
Mauzo M Pesa, Franklin Bagalla na Mkuu wa kitengo cha Uendelezaji
Biashara M pesa, Isack Nchunda.
Mkuu wa Kitengo cha Mauzo M Pesa, Franklin Bagalla (Kushoto) na Mkuu wa
kitengo cha Uendelezaji Biashara M Pesa, Isack Nchunda
(Kulia)wakimshuhudia Meneja Uhusiano wa nje wa Kampuni hiyo Salum
Mwalim, akiwaonesha waandishi wa habari (Hawapo Pichani) Namna ya
kushiriki Mawakala wa M-PESA katika Promosheni ya "Mkwanja kwa Wakala"
inayolenga kutambua na kuthamini mchango wa Mawakala wa M Pesa kwa
kuwapatia nafasi ya kujishindia fedha taslim kwa kufanya miamala ya
fedha kwa wateja wa mtandao huo.
No comments:
Post a Comment