Kimbia, Tembea au Dhamini – karibuni sana kudhamini mbio na
matembezi haya ya hisani yajulikanayo kama Rotary Dar Marathon yatakayofanyika
Jumatatu ya Oktoba 14 mwaka 2013. Lengo ni kuchangisha fedha zitakazotumika
katika ujenzi wa maktaba ya kisasa yenye
eneo la mita za mraba 800 katika Chuo Kikuu
cha Dar es salaam. Sambamba na maktaba iliyopo, ukarabati huu utazingatia
uwazi, sanaa, ziara mafunzo, upatikanaji kwa wenye ulemavu na huduma za
elektroniki – haya yote yatachochea maingiliano, mijadala na nyenzo za mafunzo
shirikishi zitakazowawezesha viongozi
wetu wa kesho.
Tuesday, October 01, 2013
(News) Tembea, Kimbia au Dhamini – Shiriki katika Rotary Dar Marathon 2013
Labels:
DJCHOKAblog,
News,
Rotary Dar Marathon
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment