Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Bw.Matina Nkurlu,akiwaonesha
waandishi wa Habari (hawapo pichani)namba ya simu ya mshindi
aliejishindia Pikipiki katika promosheni ya"Timka na
Bodaboda"inayoendeshwa na Vodacom Tanzania,Jumla ya
washindi(15)wamejishindia Pikipiki na wengine(6)wamejinyakulia shilingi
Milioni moja moja.Ili kujiunga na promosheni hii TUMA NENO PROMO kwenda
15544,anaeshuhudia kushoto ni Afisa wa huduma za ziada wa kampuni hiyo
Rashid Maggid na kulia ni Msimamizi wa bodi ya Michezo ya kubahatisha
nchini,Bw.Humudi Abdulhussein.
Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania Bw.Matina Nkurlu akiongea na simu na
mmoja wa washindi wa Pikipiki katika promosheni ya"Timka na
Bodaboda"inayoendeshwa na Vodacom Tanzania,Jumla ya
washindi(15)wamejishindia Pikipiki na wengine(6)wamejinyakulia shilingi
Milioni moja moja.Ili kujiunga na promosheni hii TUMA NENO PROMO kwenda
15544,anaeshuhudia kushoto ni Afisa wa huduma za ziada wa kampuni hiyo
Rashid Maggid na kulia ni Msimamizi wa bodi ya Michezo ya kubahatisha
nchini,Bw.Humudi Abdulhussein.
Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Bw.Matina Nkurlu,akisisitiza jambo
kwa waandishi wa Habari (hawapo pichani)kuhusiana na umuhimu wa
watanzania na wateja wa Vodacom kushiriki katika Promosheni ya "Timka na
Bodaboda"ambapo,Jumla ya washindi(15)wamejishindia Pikipiki na
wengine(6)wamejinyakulia shilingi Milioni moja moja.Ili kujiunga na
promosheni hii TUMA NENO PROMO kwenda 15544,Wengine kushoto ni Afisa wa
huduma za ziada wa kampuni hiyo Rashid Maggid na kulia ni Msimamizi wa
bodi ya Michezo ya kubahatisha nchini,Bw.Humudi Abdulhussein.
No comments:
Post a Comment