Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Bw.Matina Nkurlu,akionesha moja ya
namba ya simu ya mshindi aliejishindia Pikipiki katika promosheni
ya"Timka na Bodaboda"inayoendeshwa na Vodacom Tanzania,Jumla ya
washindi(50)wamejishindia Pikipiki na wengine(22)wamejinyakulia shilingi
Milioni moja moja.Ili kujiunga na promosheni hii TUMA NENO PROMO kwenda
15544,anaeshuhudia kushoto ni Afisa wa huduma za ziada wa kampuni hiyo
Rashid Maggid na kulia ni Msimamizi wa bodi ya Michezo ya kubahatisha
nchini,Bw.Abdallah Hemedy.
Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania Bw.Matina Nkurlu akiongea na simu na
mmoja wa washindi wa promosheni ya"Timka na Bodaboda"aliejishindia
pikipiki, Jumla ya washindi(50)wamejishindia Pikipiki na
wengine(22)wamejinyakulia shilingi Milioni moja moja.Ili kujiunga na
promosheni hiyo TUMA NENO PROMO kwenda 15544.Kushoto ni Afisa wa huduma
za ziada wa kampuni hiyo Rashid Maggid na kulia ni Msimamizi wa bodi ya
Michezo ya kubahatisha nchini,Bw.Abdallah Hemedy.
Msimamizi wa bodi ya Michezo ya kubahatisha nchini,Bw.Abdallah
Hemed(kulia)akionyeshwa na Meneja Uhusiano wa Vodacom
Tanzania,Bw.Matina Nkurlu(katikati)namba ya simu ya mshindi wa
Promosheni ya "Timka na Bodaboda"Jumla ya washindi(50)wamejishindia
Pikipiki na wengine(22)wamejinyakulia shilingi Milioni moja moja.Ili
kujiunga na promosheni hii TUMA NENO PROMO kwenda 15544,kushoto ni Afisa
wa huduma za ziada wa kampuni hiyo Rashid Maggid.
No comments:
Post a Comment