WAHI SASA na ununue tiketi yako kwa Tshs. 30,000/= tu kupitia M-PESA
uokoe usumbufu wa kulipa zaidi dukani au getini na upate muda wa
maongezi wa Sh 1,000/= BURE.
1. - Piga *150*00# kupata MENYU ya M-PESA
2. - Chagua LIPA KWA M-PESA
3. - Ingiza NAMBA YA MALIPO ambayo ni 111222
4. - Ingiza kiasi unacholipia: TSh 30,000/= kwa tiketi moja.
5. - Weka NAMBA YAKO YA SIRI ya M-PESA kisha Bonyeza OK.
Utapokea ujumbe Mfupi wenye kumbukumbu ya Malipo. Utachukua tiketi yako kuanzia tarehe 18 Nov kwenye sehemu zifuatazo: VODASHOP MLIMANI CITY, VODASHOP MASAKI, VODASHOP MILLENIUM TOWERS, VODASHOP SAMORA na VODASHOP QUALITY CENTER.
KUMBUKA: Ukilipa kwa M-PESA ni Sh 30,000/= na mwisho wa kuuza tiketi kwa M-PESA ni tarehe 17 Nov, kuanzia tarehe 18 Nov tiketi zitauzwa DUKANI kwa Tshs. 35,000/= mpaka tarehe 23 Nov saa 10 jioni, na ukilipa getini siku ya tamasha, tiketi itauzwa kwa TShs 50,000/=.
KAZI NI KWAKO!
1. - Piga *150*00# kupata MENYU ya M-PESA
2. - Chagua LIPA KWA M-PESA
3. - Ingiza NAMBA YA MALIPO ambayo ni 111222
4. - Ingiza kiasi unacholipia: TSh 30,000/= kwa tiketi moja.
5. - Weka NAMBA YAKO YA SIRI ya M-PESA kisha Bonyeza OK.
Utapokea ujumbe Mfupi wenye kumbukumbu ya Malipo. Utachukua tiketi yako kuanzia tarehe 18 Nov kwenye sehemu zifuatazo: VODASHOP MLIMANI CITY, VODASHOP MASAKI, VODASHOP MILLENIUM TOWERS, VODASHOP SAMORA na VODASHOP QUALITY CENTER.
KUMBUKA: Ukilipa kwa M-PESA ni Sh 30,000/= na mwisho wa kuuza tiketi kwa M-PESA ni tarehe 17 Nov, kuanzia tarehe 18 Nov tiketi zitauzwa DUKANI kwa Tshs. 35,000/= mpaka tarehe 23 Nov saa 10 jioni, na ukilipa getini siku ya tamasha, tiketi itauzwa kwa TShs 50,000/=.
KAZI NI KWAKO!
No comments:
Post a Comment