22.11.13

Thursday, October 31, 2013

(Photo's) Kampeni ya "Nani Mtani Jembe?" Imeingia Songea

 Tayari wakazi wa Ruvuma wameanza kuishuhudia kampeni ya Nani Mtani Jembe ambayo inaendelea katika sehemu mbalimbali na kwa sasa iko Songea. Kama wewe ni shabiki wa Simba au Yanga usikose kujisogeza uweze kushindana na watu wako na kujipatia zawadi

No comments: