Meneja Uhusiano wa
Umma wa Vodacom Tanzania Bw.Matina Nkurlu(kulia)akimfungia kamba ya kofia
ngumu”Helment”Mshindi wa Promosheni ya “Timka na BodaBoda mkazi wa Morogoro
Yusuph Ismail(kushoto) baada ya kumkabidhi pikipiki yake leo.Jumla ya
washindi(80)wamejishindia Bodaboda na(47)wamejinyakulia fedha taslimu.Ili
kujiunga na Promosheni hiyo tuma neno Promo
kwenda 15544.
Mshindi wa Promosheni
ya “Timka na BodaBoda”Mkazi wa Morogoro Bw.Yusuph Ismail akiondoka na Pikipiki yake
baada ya kukabidhiwa na Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania,Bw.Matina
Nkurlu anaemwelekeza njia (kulia) wakati wa kuchesha droo ya Promosheni hiyo.
Jumla ya washindi(80)wamejishindia Bodaboda na(47)wamejinyakulia fedha taslimu.Ili
kujiunga na Promosheni hiyo tuma neno Promo
kwenda 15544.
Meneja Uhusiano wa
Umma wa Vodacom Tanzania,Bw.Matina Nkurlu(kulia)akimukabidhi funguo ya pikipiki
mkazi wa Morogoro,Bw.Yusuph Ismair aliejishindia katika Promosheni ya “Timka na
BodaBoda”inayoendeshwa na kampuni hiyo,wakati wa kuchesha droo ya Promosheni hiyo.Jumla
ya washindi(80)waliojishindia Bodaboda na(47)wamejinyakulia fedha taslimu.Ili
kujiunga na Promosheni hiyo tuma neno Promo
kwenda 15544. Kushoto ni Afisa
huduma za ziada wa kampuni hiyo Rashid Maggid.
Meneja Uhusiano wa Umma
wa Vodacom Tanzania,Bw.Matina Nkurlu(kushoto)akimuelekeza jinsi ya kutumia
”Side mirror” Mkazi wa Morogoro mjini Bw.Yusuph Ismair ambaye ni mshindi
wa Promosheni ya “Timka na
BodaBoda,baada ya kumkabidhi pikipiki yake,wakati wa kuchezesha droo ya Promosheni
hiyo.Jumla ya washindi(80)wamejishindia Bodaboda na(47)wamejinyakulia fedha
taslimu katika Promosheni hiyo.Ili kujiunga na Promosheni hiyo tuma neno Promo kwenda 15544. Kulia ni Afisa
huduma za ziada wa kampuni hiyo Rashid Maggid.
Msimamizi wa bodi ya
michezo ya kubahatisha Humudi Abdulhussein(kulia)pamoja na Afisa huduma za
ziada wa Vodacom Rashid Maggid(katikati)wakioneshwa namba ya simu na Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom
Tanzania,Bw.Matina Nkurlu(kulia)wakati wakichezesha droo ya “Timka na BodaBoda”washindi
80 wamejishindia pikipiki katika Promosheni hiyo,ili kujiunga na promosheni
hiyo mteja anatakiwa kutuma neno Promo
kwenda 15544.
2 comments:
hi..mimi nataka kushinda m400..inakuwaje...sio msikilizaji waredio au tv lakin internet ndo sana..let me know
matapeli hao zawad wanawapa ndugu zao na washkaji zao hakuna promo hapo matapeli haooo,.
Post a Comment