Amina
Issa, Mkazi wa Tumbaku Morogoro ambae pia ni wakala wa M – Pesa
akipokea hundi ya shilingi laki 100000, kutoka kwa Meneja wa Vodacom
kanda ya kati Nguvu Masapila, baada ya kujishindia kutoka katika
Promosheni ya Mkwanja kwa Wakala yenye lengo la kuboresha maisha ya
mawakala wa kampuni ya Vodacom. Hadi sasa kampuni hiyo
imetoa fedha taslimu kiasi cha shilingi Milioni 81 na vyetri kwa
mawakala 810 wa M-pesa nchini ikiwa ni sehemu ya kutambua na kuthamini
Mchango wao kwa jamii ya watanzania na kampuni hiyo. Pamoja nao katika
picha ni Mkaguzi wa Mawakala Ahmed Kaunda.
Wakala
wa Vodacom M - Pesa Amina Issah Mkazi wa Tumbaku Mkoani Morogoro
akifurahi mbele ya biashara yake punde baada ya kukabidhiwa mfano wa
hundi yake yenye thamani ya shilingi
100,000 aliyojishindia katika Promosheni ya “Mkwanja kwa Wakala”yenye
lengo la kuboresha maisha ya mawakala wa kampuni ya Vodacom. Hadi sasa
kampuni hiyo imetoa fedha taslimu kiasi cha shilingi Milioni 81 na
vyetri kwa mawakala 810 wa M-pesa nchini ikiwa ni
sehemu ya kutambua na kuthamini Mchango wao kwa jamii ya watanzania na
kampuni hiyo.
Wakala wa Vodacom M - Pesa Ramadhan Juma, Mkazi wa Nane Nane, Morogoro
akifurahi mbele ya biashara yake punde baada ya kukabidhiwa hundi
yake yenye thamani ya shilingi 100,000 aliyojishindia katika Promosheni
ya “Mkwanja kwa Wakala”yenye lengo la kuboresha maisha ya mawakala wa
kampuni ya Vodacom. Hadi sasa kampuni hiyo imetoa
fedha taslimu kiasi cha shilingi Milioni 81 na vyetri kwa mawakala 810
wa M-pesa nchini ikiwa ni sehemu ya kutambua na kuthamini Mchango wao
kwa jamii ya watanzania na kampuni hiyo.
Rodrick Eliabu, Mkazi wa Kichangani mjini, Morogoro akiwa mwenye
furaha mbele ya biashara yake punde baada ya kukabidhiwa hundi yake
yenye thamani ya shilingi 100,000 aliyojishindia katika Promosheni ya
“Mkwanja kwa Wakala” yenye lengo la kuboresha maisha ya mawakala wa
kampuni ya Vodacom. Hadi sasa kampuni hiyo imetoa
fedha taslimu kiasi cha shilingi Milioni 81 na vyetri kwa mawakala 810
wa M-pesa nchini ikiwa ni sehemu ya kutambua na kuthamini Mchango wao
kwa jamii ya watanzania na kampuni hiyo.
Bwana, Ramadhani Juma (Katikati) Mkazi wa Nane Nane Morogoro, akipokea
hundi ya shilingi laki 100000, kutoka kwa Meneja wa Vodacom kanda ya
kati Nguvu Masapila, baada ya kujishindia kutoka katika Promosheni ya
Mkwanja kwa Wakala yenye lengo la kuboresha maisha ya mawakala wa
kampuni ya Vodacom. Hadi sasa kampuni hiyo imetoa fedha
taslimu kiasi cha shilingi Milioni 81 na vyetri kwa mawakala 810 wa
M-pesa nchini ikiwa ni sehemu ya kutambua na kuthamini Mchango wao kwa
jamii ya watanzania na kampuni hiyo. Pamoja nao katika picha ni Mkaguzi
wa Mawakala Ahmed Kaunda.
Bwana,
Rodrick Eliabu (Katikati) Mkazi wa Kichangani Morogoro, akipokea
hundi ya shilingi laki 100000, kutoka kwa Meneja wa Vodacom kanda ya
kati Nguvu Masapila, baada ya kujishindia kutoka katika Promosheni ya
Mkwanja kwa Wakala yenye lengo la kuboresha maisha ya mawakala wa
kampuni ya Vodacom. Hadi sasa kampuni hiyo imetoa fedha
taslimu kiasi cha shilingi Milioni 81 na vyetri kwa mawakala 810 wa
M-pesa nchini ikiwa ni sehemu ya kutambua na kuthamini Mchango wao kwa
jamii ya watanzania na kampuni hiyo. Pamoja nao katika picha ni Mkaguzi
wa Mawakala Ahmed Kaunda.
No comments:
Post a Comment