Washiriki
wanaowania taji Tanzania Top model wameingi kambini kwa muda wa mwezi
mmoja ambapo kambi hiyo imeanza jana katika Hotel ya JB Belmont kisha
kuhamia katika hotel tofautitofauti. Jumla ya washiriki 20 wameingia kambini hapo wakitokea mikoa tofautitofauti ambapo ulifanyika usaili kuwapa wanamitindo hao.
No comments:
Post a Comment