22.11.13

Friday, November 01, 2013

(Photo's) CD NA ZAWADI ZA BABY MADAHA ‘’THE QUEEN OF SWAGG’’ ZAGOMBEWA KAMA NJUGU MITAANI.

 Kama lilivyo jina lake,mwanadafada huyu  leo aliamua kutoka na swag zake kitofauti….kwa kuamua kuwafanyia surprise ya nguvu mashabiki wake kwa kuwatembelea mitaani na kuwagawia zawadi kwenye hand bags zake na product yake mpya ya manukato na audio cd
Kwa watoto midoli ya candy n candy,ilikua ni balaaa baada ya mtoto wa kishua kutua pande za uswazz tandale,kwa mtogole na mwananyamala kisiwani akishow love na masela, wakinamama na watoto

  
Akiongea na blog hii’THE FIRST LADY’’alifunguka namna hii…”leo kuwaonyesha tofauti nimeamua kuwaletea swag hata watoto wa kiswazz na wale mashabiki wangu wa hali ya chini wafeel poa na kushare love pamoja ma motto ni ‘’SMELL LIKE ME,FEEL LIKE ME AND VE SWAGG LIKE ME!......STAY  TUNED!!!!

No comments: