22.11.13

Sunday, November 17, 2013

(Photo) Behind the Camera Last Night DIAMOND ft DAVIDO "NUMBER ONE REMIX"

 
Naamini ipo siku nasi Tanzania tutasimama Vyema Katika ramani hii ya muziki Worldwide na kuipa sifa na Heshima zaidi East Africa yetu.... Eeeh Mwenyez Mungu ibariki Tanzania, ibariki East Africa na Africa yetu kwa ujumla.... #LastNight #Onset #NumberOneRemix #DiamondFtDavido #ClarencePeterBehindTheCamera

 Meneja wa Tip Top Babu Tale akiwa na Davido wakati wa utengenezaji wa video hiyo ya Diamond pande za Lekki-Ikoyi (Lekkoyi) Bridge Lagos

No comments: