Muda mfupi uliopita usiku huu nilikuwa kwenye utengenezaji wa video mpya ya Chege na Temba pale maeneo ya Sinza Mori stand ambapo kwa sasa kuna kituo kipya cha kuweka mafuta kinaitwa BIG BON kina mda wa siku 4 toka pamefunguliwa.
Wimbo huo ukijulikana kwa jina la FUNGENI MIKANDA video yake ilikuwa ikishutiwa na Visul lab NEXT LEVEL chini ya mtu mzima Adamu Juma.
Pembeni kushoto ni Producer DUNGA, TEMBA na CHEGE wakishikana mkono kuashiria kumaliza salama kwa video hii sasa kilichobaki ni kusikiliza uliaji wake kama wimbo wa taifa
No comments:
Post a Comment