CONTACT:
Artist DJ,
Zizzou Entertainment
Dar es salaam, Tanzania.
Tel: +255715727873
P.O. Box 21870
Mail: djchoka@yahoo.com
djchoka@gmail.com
djchoka84@hotmail.com
BLOG MBALIMBALI.
Every first FRIDAY of the month. All your favourite TUNES, all your favourite FRIENDS and plenty of DRAMA.
KILA IJUMAA NI ZHONG HUA GARDEN NA KILA JUMATANO NI CLUB MAISHA NA KILA JUMAPILI NI THAI VILLAGE...KIWANJA CHA FLOWERS NA UZURI WA TANZANIA
THE MAKING VIDEO YA MANGWEAR "CNN"
Video hii imetengenezwa na kampuni ya Kallage's Picture
Muandishi: DJ Choka At 12:04 PM 0 Comments
RAS NAS ndani ya Sri Lanka
Ras Nas pamoja na kikosi chake wakiwasili Colombo leo (Jumatano) tayari kwa maonyesho matatu miji ya Colombo na Galle, Sri Lanka, wikiendi hii. Ras Nas anawasilisha Norway na Tanzania vile vile!Toka kushoto Larry Skogheim (besi, Norway), Ras Nas aka Nasibu Mwanukuzi (sauti na ridhim gitaa, Tanzania), Dag Pierre (solo gitaa, Sweden), Chuck Frazier (solo namba mbili, Houston Texas), Uriel Seri (drums, Ivory Coast), Karlos Rotzen (kinanda, Martinique).
Muandishi: DJ Choka At 11:50 AM 0 Comments
NYIMBO MPYA ZILIZOTUFIKIA.
Muandishi: DJ Choka At 11:41 AM 0 Comments
KUTOKA KWENYE FACEBOOK YA LADY JD, Video ya Teja ime leak
Wednesday, December 02, 2009Muandishi: DJ Choka At 11:40 AM 0 Comments
BABY POWDER PREMIERE- (HOUSTON,TX)

















Muandishi: DJ Choka At 10:47 AM 0 Comments
Message kutoka Bano to all his fans baada ya interview ya J Murder owner wa Tongwe Records Jumamosi on Bongo Flava.
I hope kila mtu yu salama.Nimeamua kuchukua fursa hii kuongea na umma juu ya roumuz zinazo nikabili mimi.Ningependa watu waajue kuwa J-RYDA was a close friend of mine hata J-MURDA naye pia.I wonder why wameamua kunifanyia hivyo by this hour?TONGWE was facing a problem by the time producer wao DUKE anaondoka studio so they needed a producer & J-MURDA was a brother of my school mate so ikawa rahisi kunipata mimi.I started producing the songs tongwe kuanzia mwezi march mpaka july.Kukaanza kutokea matatizo baina yangu mimi na the owner coz alishindwa kunilipa pesa za matangazo ambazo zilikuwa zimebaki,tuligombana sana then nkaona ngoja nirudi nyumbani.Nikawa naenda studio when im needed nkawa sijiendei tu.By august nkaanza kumpeleka J-RYDA studio with our fellow producer named carson-g.By 26 of august me nkasafiri kuja kusoma which means me na j-ryda kama kukaa tongwe studio me na yeye its jus only 3 weeks ambazo in real sense hakuna production isiyozidi nyimbo 3 hata kama mtu una usongo gani u cant produce more than 3 songs pre 3 weeks.
Yeye kuclaim me nimeondoka nanyimbo zake its meaningless coz they know dat me nlikuwa nimeproduce nyimbo ngapi before mimi kuondoka tho by the time me naondoka ni nyimbo moja tu ''watoto wa mjini'' ya jos mtambo & chidi benz ndio iliyokuwa imetoka.Alaf ever since i started my music career sijawahi kutengeneza pesa yeyote ile kutoka kwenye music,so i hope u pipo can feel the feeling ambayo i am going through rightnow.
Tukiwa studio kuna vitu vingi sana vinatokea kwa mfano;u can make the whole song alaf ukamsikilizisha mwenzio akupe comments zake then maybe anakwambia the bass haijakaa vizuri then unamwambia put it the way u want,akishafanya then off u go.Sasa beat za style hii zipo nyingi sana ambazo me na RYDA tumefanya ever since kitambo till 2day.Angesema hizo ndio zake kidogo ningemuelewa but he did not do that.
Talking about goodboi,nimerudi ya cyrill and further songs kuwa they are not my art haya aseme but in heart he knows.Nikianza kugombania nyimbo ambazo they are about to fade out ni ujinga!!! kama anaclaim ameproduce si kuna nyimbo mpya ambazo yeye ameproduce do they vary na hizo ambazo nimeproduce?!!!!
Furthermore,alikuwa wapi kusema hivyo muda wote nyimbo zinatoka naenda kwenye interviews sometimes i even forget na ye huwa ananikumbusha dat yo boi u got these interviews and all dat.Siku ambayo me naondoka nakumbuka niliwatumia texts yeye na our other fellow CARSON -G dat i did not take them to the spot ambayo nlitaka tufike so they shud fight for that coz atleast mimi nimeweza kuwafungulia njia so it wili be easy for them to reach up.
3 weeks kabla ya leo ilininbox na kuanza kuniambia dat i think its time for him to go on alone with the music career so its like he duznt need me anymore.Ila kama ni goodtymes tule pamoja kama kawaida.The way nilivyomuelewa mimi its like alikuwa ananidump, nkamwambia poa.We were talking about so many things even future projects and all dat so dat means kulikuwa hamna tatizo lolote.
J`mosi ambayo wamefanya interview usiku wake we were on facebook chatin as if he did not do anything to harm me.Sunday nkaanza kupokea simu kutoka kwa watu tofauti wakiniambia about this,nkasema ngoja niulize imekuwaje.Nkampigia Cyrill and he told me the same thing,nkaongea na dozen ye ndio akaniambia dat they did the interview na wewe so dats why i decided to txt you.Niliongea na nick wa pili na watu kadhaa kila mtu akawa anashangaa.
Nway,
They shud come up with a new plan ya kuinyanyua studio but not kuwa mislead my pipo.And kuhusu nyimbo kudistribute online!
naomba wanitajie hizo webs ili nizidistribute kweli sasa without a doubt coz itakuwa haileti maana kama nikizificha tena.And i promise them kila baada ya siku 3 ntakuwa nazitoa kweli.Wanitajie web moja tu nifanye kazi yangu.
Kukaa kunipakazia vitu vya ajab ni si busara njema kwani ni kunidhalilisha na si kuniaibisha.Kama wanataka kunyanyua studio kwa style ya roumuz studio itakufa mapema sana.Alaf J-MURDA anasahau kwamba nilikuwa shule nkawa naproduce nilipohitajika shule nkaacha kuproduce which means hata RYDA nae atakuwa studio and then ataondoka kama nilivyofanya mimi.Wanatakiwa wafurahi kwamba i paved the way for them to succeed not to knock me down.
Sitatoa nyimbo hata moja ambayo nimefanya kuanzia 2007-09 so nawaruhusu wazitumie hizo nyimbo ambazo niliziacha zije kutoka baadae,wafute zile tags zangu zote waweke zao its okay i wont mind.I will just start a new page of my music career with not more than 50 songs to say goodbye to ma fans,my music career is over according to me.Sitaproduce anymore song zaidi ya hizo and i will just want to prove them wrong.NITAFANYA HIVI SI KWA KUTENGENEZA BATTLE WITH THEM BALI KWA KUWAFANYA WATENGENEZE VITU VIZURI KAMA VYANGU,KWANI WALIVIONA NI VIZURI NDIO MAANA WANAVIGOMBANIA.
Alaf i got a good msg for them, wasikilize lyrics zangu za nyimbo ya ''ON FIRE'' watajihisi niliwataja wao and its true coz i was prepared for this to happen 1 year ago.So i am forever prepared they shud get a new plan.Money its juss the other side of life so wasichanganyikiwe sana 200,000 kuna millions and billions watu wanashika na still they act cool.
Nawatakia kila la kheri katika maisha yao ya kimuziki.And thanks pia kwa watu wote watakao kuwa bega kwa bega na mimi katika hili.
Thanks to u once again,
Yours,
Bano Stylez Dha General.
Muandishi: DJ Choka At 10:40 AM 0 Comments
NIMETIMIZA NDOTO YANGU YA KUTEMBEA NA FARASI.
Tuesday, December 01, 2009Muandishi: DJ Choka At 10:58 PM 0 Comments
WHO IS THE BEAUTY OF THE WEEK.
Monday, November 30, 2009Muandishi: DJ Choka At 7:03 PM 6 Comments
DJ CHOKA PRESENT HANDSOME OF THE WEEK.
Muandishi: DJ Choka At 6:52 PM 1 Comments
Inter-College Special 2009 YAACHA GUMZO MAENEO YA KAWE.

D' Banj akiwa na mwenzake kutoka Nigeria walifanya show nzuri na ulipofikia wimbo wa Falling Love sidhani kama kuna mtu alikaa chini.Muandishi: DJ Choka At 5:18 PM 0 Comments
MCHANA HUU D BANJ ALITEMBELEA VIWANJA VYA TTC
Friday, November 27, 2009
Huu ni mkutano uliofanyika mchana huu na kuzungumzia show nzima kwa jinsi itakavyokuwa kesho pale Tanganyika Packers Ground (Kawe). Tamasha hili ambalo limepewa jina la STR8MUZIK - Inter-College Special 2009 litakuwa na wasanii kibao wakiongozwa na D Banj (Nigeria), Nonini, Juacali and Nameless (Kenya), Mangwea, T.I.D, Quick Racker, Belle 9, Marlaw, Cpwaa,Joh Makini , THT, BEST FRIENDand 2 Suprise artistMuandishi: DJ Choka At 5:11 PM 0 Comments
INGAWA AMEZALIWA LEO..
Muandishi: DJ Choka At 3:20 AM 1 Comments
BUSTA RHYMES HAKUREMBA ALIPOINGIA KWENYE JUKWAA LA FIESTA ONE LOVE 09.
PART 2.
Muandishi: DJ Choka At 2:55 AM 0 Comments
KWA WALE WOTE WAPENDA RAGGA & REGGAE.
Thursday, November 26, 2009Muandishi: DJ Choka At 10:45 PM 0 Comments
WIMBO MPYA WA NAKO 2 NAKO.
Muandishi: DJ Choka At 1:45 PM 2 Comments
ZIARA YA FID Q MJINI BAGAMOYO (KAOLE).
Muandishi: DJ Choka At 12:44 PM 2 Comments
Labels: dj choka
BANGI MARUFUKU KUVUTWA BONGO REC.
Muandishi: DJ Choka At 11:11 AM 1 Comments
SHOW ILIYOFANYIKA KATIKA CHUO CHA SANAA BAGAMOYO (TASUBA - Taasisi ya Sanaa na Utamaduni)
Muandishi: DJ Choka At 10:28 AM 2 Comments
NANI UNAMUONA YUKO HANDSOME KATI YA HAWA HAPA KWA WIKI HII.
Wednesday, November 25, 2009Muandishi: DJ Choka At 5:00 AM 14 Comments
DJ CHOKA PRESENT BEAUTY OF THE WEEK.
Huyu ndio Beauty wa wiki iliyopita anaitwa Angeris ambaye alikuwa anashindana na mwenzake Gitta. Kura zenu zinasema hivi Angeris alipata kura 45 (63%) huku mwenzake Gitta alikuwa na kura 26 (36%) so mshindi ni ANGERIS big up dada yangu utunze huo u beauty wako.
SHUKRANI KWA WADAU WANGU MLIOKUWA MNAVOTE.
Muandishi: DJ Choka At 4:48 AM 0 Comments
CPwaa's PRE - LAUNCHING PARTY.
Its my pleasure to inform all BongoFlava, CPWAA's fans and local muisc supporters that i will have an exclusive pre-launching party on 8th Dec 2009 at Movenpic.Shughuli nzima itaanza na wageni waalikwa (V.I.P) kuanzia saa 2 usiku mpaka 5 usiku na baadae kwa kiingilio cha 15,000 TSH kwa yeyote atayependa kuingia. Usiku huo kutakuwa na uzinduzi wa tovuti zangu 2, mavazi,documentary fupi, nyimbo mpya na video zake bila kusahau Album Preview na perfomance moja ya ukweliiiiii!
--
Na baada ya hapo, ngoma zote za ukweli zitapigwa na maDJ wakali kutoka jijini Dar, na shangwe hilo litaendelea mpaka kuchwele. looking forward to see you there.
Support local talents, support our music! na tutafika tu.
Muandishi: DJ Choka At 2:45 AM 0 Comments
NEW VIDEO KUTOKA KWA DE PLAIZIR.
After the Hit single Swali, The King of Pleasure, drops Kende kaka meaning "Just Go" from his native Lingala language, the second single from his forthcoming album... The song features the Kora awards winning Tanzanian Deva Lady JayDee and a good mix of Congolese rumba and Salsa interpreted in swahili and lingala..
Muandishi: DJ Choka At 2:12 AM 0 Comments
BUSTA RHYMES AMZIMIA WITNESZ.
Tuesday, November 24, 2009Muandishi: DJ Choka At 11:14 AM 0 Comments
ONE LOVE ILIVYOTIKISA JIJI.
Muandishi: DJ Choka At 10:27 AM 0 Comments
SHOW LOVE YA FIESTA DAR ES SALAAM.
Muandishi: DJ Choka At 9:42 AM 0 Comments
BABY POWDER MOVIE PREMIERE (Atlanta,GA)
Baby Powder, a new film produced by US-based Tanzanian film production company, Jake Productions launched in November 14 in Atlanta, USA. The cast of the movie features East Africans living in the USA mainly Tanzanians and Kenyans( also Americans,Hitians and more) Muandishi: DJ Choka At 8:21 AM 0 Comments
D BANJ LIVE IN DAR "STR8MUZIK FESTIVAL"
Performing artists, D Banj (Nigeria), Nonini, Juacali and Nameless (Kenya), Mangwea, T.I.D, Quick Rocka, Belle 9, Marlaw, Cpwaa, Joh Makini , THT, BEST FRIEND and 2 suprise artistTransportation : Free from colleges / Universities main campuses
Location : Tanganyika Packers Ground(Kawe)
Date : Saturday, November 28, 2009
Time : at 5:00pm
Entrance’s 3500/=
Muandishi: DJ Choka At 7:28 AM 0 Comments
ONYO NA TAHADHARI KWA WASHKAJI ZANGU WA FACEBOOK
Friday, November 20, 2009Muandishi: DJ Choka At 7:13 PM 3 Comments
HBC SINCE 1990.
Muandishi: DJ Choka At 6:55 PM 1 Comments























































