Tuesday, June 18, 2013
(Video) Hizi ni video clip za mwisho ambazo MANGWEAR aliifanya South Afrika.
Hizi ni video clip za mwisho ambazo MANGWEAR aliifanya South Afrika na alishirikishwa na Mtanzania mwenzake ambae ndio mwenye video anaitwa Mossred aliamua kutoa baadhi ya vipande kwa millardayo.com
Labels:
Behind The Scene,
Mangwear
(News) TAARIFA YA MSIBA
MAREHEMU MWL. PHILIP NHIGULA
(1927-2013)
FAMILIA
YA MAREHEMU MWALIMU. PHILIP NHIGULA WA MALYA MWANZA WANASIKITIKA
KUONDOKEWA KWA BABA YAO MPENZI MWALIMU PHILIP NHIGULA (86) ALIYEFARIKI
TAREHE 17/06/2013 SAA SABA MCHANA HOSIPITALI
YA TAIFA MUHIMBILI AMBAKO MWILI UMEHIFADHIWA.
SHUGHULI
ZOTE ZA MIPANGO YA MAZISHI ZINAFANYIKA KIJITONYAMA, DAR ES SALAAM
NYUMBANI KWA MTOTO WA MAREHEMU MRS. SAYAYI. MAZISHI YATAFANYIKA JUMAMOSI
TAREHE 22/06/2013
MAKABURI YA KINONDONI.
TAARIFA ZIWAFIKIE NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI POPOTE PALE WALIPO.
Labels:
News
(Audio) Mwanadada P Culture ft JCB - Life Can Be
Ni mkono wa Umbwa aka Chindo Man from Watengwa Family na Vocals zikiwa
chini ya Defxtro wa Noizmekah Productions na Humu wanapita Sister
P-Culture na JCB. Ngoma inakwenda kwa Jina Life Can Be,ni inspirational hiphop joint yenye mistari ya kuelimisha jamii, Pata kuusikiliza HAPA
na endelea kusupport muziki wa Tanzania, kwa mawasiliano zaidi na
Mwanadada P-Culture chek naye kupitia nambari +255 782 123 700 powered
by www.vmgafrica.com
(News) Vodacom yapanua wigo huduma na ajira kwa Watanzania
Vodacom Tanzania Head of Key Accounts and Franchise, Upendo Richard
(right) hands over keys to Miriam Minja, the Manager of Vodacom Shop at
Millennium Towers, Dar es Salaam, during the official opening of the
shop. Looking on is Vodacom Tanzania Head of Corporate Communications,
Joseline Kamuhanda.
Mkuu wa Idara ya Mauzo na Maduka wa Vodacom
Tanzania, Bi.Upendo Richard(kulia)akimkabidhi funguo Meneja wa duka
jipya la Vodacom lililopo Millennium Tower ghorofa ya kwanza Bi.Miriam
Minja,ikiwa ni inshara ya uzinduzi rasmi wa duka hilo.Anaeshuhudia ni
Mkuu wa kitengo cha Mahusiano na Mawasiliano wa kampuni hiyo Bi.Joseline
Kamuhanda.
Labels:
News,
Vodacom Tanzania
Monday, June 17, 2013
(Official Music Video) Various Artists -- " GOODBYE LANGA "
A
tribute music video I did for my late friend Langa. Featured Varios
Artists. I did finish the music video for a total of 16 hours. ( 4 hours
of shooting plus 12 consecutive hours of editing...)
Artist : Various Artists
Track : Goodye
Prod. : Christon/NK productios
Filmed, Edited & Directed By Jerry Mushala(Photo) Redds Miss Mwanza 2013/14 ni Lucy Charles
Kinyanganyiro
cha kumtafuta mnyange wa mkoa wa Mwanza kwa mwaka 2013, kiliteguliwa
usiku wa ijumaa baada ya Mrembo Lucy Charles msomi wa chuo kikuu cha
mtakatifu Augustino, kuwabwaga warembo wengine 13 waliojitokeza.
Nyota
ya mrembo huyo ilianza kuonekana
mapema, katika mavazi yote aliyovaa, lakini zaidi aliwapagawisha
mashabiki wa urembo waliofurika katika ukumbi wa Yatch club baada ya
kujibu swali kwa ustadi lililouliza Ni changamoto ipi kubwa walionayo
vijana wa leo.
Mshindi wa pili katika shindano hilo ni Judith Josephat na mshindi wa tatu ni Suzan Ikombe.
Washindi hao watawakilisha mkoa wa mwanza katika shindano la kanda mwishoni mwa mwezi huu.
Labels:
Events
Sunday, June 16, 2013
Saturday, June 15, 2013
(Photo's) Yaliyojiri jana kwenye show ya miaka 13 ya LADY JAYDEE @ Nyumbani Lounge
Wakazi kwa steji akiwarusha mashabiki wake vilivyo
Grace Matata kwa steji
Mwanadada Jide akiwa ameweka style ya Anaconda, ulipenda kweli kweli dada yangu
Labels:
Events,
Lady jay dee,
Nyumbani Lounge
(Photo) Ajali ya pikipiki Mbezi kwa Yusuph
Hii ajali imetokea sasa hivi hapa Mbezi kwa Yusuph huyu dereva mwenye gari alikuwa anakunja kuingia upande wa pili ndipo alipokutana na pikipiki iliyokuwa speed. Dereva wa pikipiki amepata majereha mwilini mwake
Friday, June 14, 2013
(Photo's) SHOW YA LADY JAYDEE YAWA GUMZO USIKU HUU.
Mda huu huwezi amini kuna bonge moja la foleni hapa Nyumbani Lounge kuanzia sehemu yakuegesha magari hadi watu wanaotaka kuingia ndani, sisemi sana wee endelea kutizama hizi picha
Labels:
Events,
Nyumbani Lounge
(News) INTRODUCING GREEN GENERATION SOLAR POWER WEBSITE
Our main agenda is not
only to make profit, but also want to achive this by joining the struggle
angainst climate change. Sustainable energy supply is the biggest chalange
which developing countries faces - Monty Mahembe
Kwa maelezo zaidi
bofya hapa -www.greensolar.se
Labels:
News
(Photo's) LIVE kutoka Mikocheni nyumbani kwa marehemu LANGA KILEO
Hapa ndipo alipokuwa analelewa Langa kwa wazazi wake baba na mama na hizi picha ni wasanii wakifanyiwa mahojiano na waandishi wa habari kutoka Star TV na EATV. Picha ya juu ni Kalapina na picha za chini ni Kala Jeremiah
(News) WORKSHOP PARTICIPANTS ANNOUNCED AT ZIFF 2013
ZIFF today announced a list of all selected participants to the 3 main
Workshops on film to be held during ZIFF 2013.
We congratulate the selected participants and further information will
be communicated to then in due time.
http://www.ziff.or.tz/news/workshop-participants-selected
Script Writing Workshop: (SPONSORED)
1. Philbert Aime Mbabazi – Rwanda
2. Jean Kwezi – Rwanda
3. Denis Kimathi – Kenya
4. Gabriel Kami – Tanzania
5. Christine Awor – Uganda
(TO SELF SPONSOR)
6. Joan Kabugu – Kenya
7. Zaka Riwa – Tanzania
8. Haidary Yahaya – Tanzania/Zanzibar
9. Irene Sanga – Tanzania
10. Fadhili Mfate - Tanzania
Film Production Workshop: (TO SELF SPONSOR)
1. John Kallage – Tanzania
2. Abdallah Mambia – Tanzania
3. Protas Pius Rubaba – Tanzania
4. Joseph Mpangala – Tanzania
5. Ally Othman – Tanzania/Zanzibar
6. Iddi Haji – Tanzania/Zanzibar
7. Yusuph Kisoki – Tanzania/Zanzibar
The Assistant Director Workshop: (TANZANIANS-SELF SPONSOR)
1. Edwin Mallya
2. Amir Shivji
3. Nasser Mkugwa
4. Issa Mohamed
5. Biubwa Kombo
6. Elly Omukubi (Kenya)
7. Grace Cleti
8. Richard Magumba
9. Daniel Manege
10. Walter Elia
Workshops on film to be held during ZIFF 2013.
We congratulate the selected participants and further information will
be communicated to then in due time.
http://www.ziff.or.tz/news/workshop-participants-selected
Script Writing Workshop: (SPONSORED)
1. Philbert Aime Mbabazi – Rwanda
2. Jean Kwezi – Rwanda
3. Denis Kimathi – Kenya
4. Gabriel Kami – Tanzania
5. Christine Awor – Uganda
(TO SELF SPONSOR)
6. Joan Kabugu – Kenya
7. Zaka Riwa – Tanzania
8. Haidary Yahaya – Tanzania/Zanzibar
9. Irene Sanga – Tanzania
10. Fadhili Mfate - Tanzania
Film Production Workshop: (TO SELF SPONSOR)
1. John Kallage – Tanzania
2. Abdallah Mambia – Tanzania
3. Protas Pius Rubaba – Tanzania
4. Joseph Mpangala – Tanzania
5. Ally Othman – Tanzania/Zanzibar
6. Iddi Haji – Tanzania/Zanzibar
7. Yusuph Kisoki – Tanzania/Zanzibar
The Assistant Director Workshop: (TANZANIANS-SELF SPONSOR)
1. Edwin Mallya
2. Amir Shivji
3. Nasser Mkugwa
4. Issa Mohamed
5. Biubwa Kombo
6. Elly Omukubi (Kenya)
7. Grace Cleti
8. Richard Magumba
9. Daniel Manege
10. Walter Elia
(News) CHAMA CHA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA (TUMA)
CHAMA CHA MUZIKI WA
KIZAZI KIPYA TANZANIA (TUMA)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI 14-6-2013
Chama cha muziki wa kizazi kipya Tanzania (TUMA) kimepokea
kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha aliyekuwa msanii mahiri wa Hip Hop
nchini marehemu Langa Kileo.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwenye vyombo vya
habari,marehemu Langa Kileo alifariki siku ya jana jioni katikia Hospitali ya
Taifa ya Muhimbili alipopelekwa kwa ajili ya matibabu.
Tasnia ya muziki nchini imepata pigo lingine tena kwani ni
takribani muda wa wiki 2 tokea msanii mwingine mahiri Albert Mangweha afariki
Dunia akiwa nchini Afrika Kusini na kuzikwa
katika makaburi ya Kihonda yaliyopo Mkoani Morogoro.
Tunapenda kutoa wito kwa wasanii wote nchini kujitokeza kwa
wingi na kuonyesha upendo pamoja na kutoa ushirikiano katika kipindi hiki
kugumu cha msiba wa msanii mwenzetu Langa Kileo.
Chama kinatoa pole kwa familia ya
marehemu,ndugu,jamaa,marafiki na mashabiki wote wa muziki nchini na kuahidi
kutoa ushirikiano katika wakati huu mgumu kwetu sote.
Tunaamini tulimpenda lakini Mungu amempenda zaidi,Mungu
ampumzishe kwa amani marehemu Langa Kileo.
Amin.
Fredrick Gerson Mariki
Mwenyekiti wa TUMA (TANZANIA URBAN MUSIC ASSOCIATION)
(News) Ratiba ya mazishi ya LANGA KILEO
Ratiba ya mazishi ya ndugu yetu Langa Kileo itakuwa kama ifuatavyo, msiba upo nyumbani kwa wazazi wa Langa maeneo ya Mikocheni nyuma ya Hosp ya AAR zamani kulikuwa na ofisi za Benchmark Production. Mwili wa marehemu utaagwa siku ya Jumatatu majira ya saa 7 mchana na baada ya hapo mwili utaelekea makaburi ya Kinondoni kwa mazishi majira ya saa kumi alasiri.
Thursday, June 13, 2013
(Photo) NISHER the Master-Mind behind "JIKUBALI" music interview with Fresh 120 Blog
Hii ni exclusive interview imefanywa toka Fresh120 Media , Nisher
ameamua kufunguka na kuamua kuzungumzia juu ya utengenezaji wake wa
video kuanzia mfumo mzima wa utengenezaji , matayarisho na pia Idea
kubwa ya yeye kufika hapo alipo sasa,
Pia Nisher amewezakuzungumzia juu ya comments ambazo zimekuwa changamoto kwake , amechambua kwanini ana mfumo wake wa kipekee katika utengenezaji wa Video . Pata kusikia Mahojiano Toka kwa Nisher na Mdau wa Fresh120Media
Pia Nisher amewezakuzungumzia juu ya comments ambazo zimekuwa changamoto kwake , amechambua kwanini ana mfumo wake wa kipekee katika utengenezaji wa Video . Pata kusikia Mahojiano Toka kwa Nisher na Mdau wa Fresh120Media
(Audio) FredLou Toka Majerui TLST
Kwa wanaokumbuka ngoma yao TLST Crew "Fanya fasta" ilorekodiwa Kwa Pfunk
Bongo Records bila shaka jina Fred Lou sio geni masikioni na Mc huyu
Toka Majerui TLST anadrop ngoma yake mpya kabisa toka pande za
Noizmekah,Dude linakwenda kwa jina 'ON PEAK" ikiwa ni Hiphop Joint.Pata Kuisikiliza HAPA na endelea kusupport Muziki wa Tanzania. Powered by www.vmgafrica.com
Labels:
Music
(Audio) WillyFololo & GhettoGrade
GhettoGrade anaewakilisha Best Reggae Group of the year Kupitia KTMA
pamoja na WillyFololo wamedrop pande za noizmekah Studios kurecord pini
lao jipya la muundo wa Afropop itakayokuwepo katika joint project
itakayotoka hivi karibuni, Mbali na goma hili waloipa jina "LEO"
WillyFololo amezungumzia Video yake ya "BIG UP URSELF" itakayotoka karibuni, Download ngoma hiyo huku tunasubiri video HAPA na endelea kusupport muziki wa Tanzania. Kwa mawasiliano zaidi check na WillyFololo kupitia +255 656 477 793 .powered by www,vmgafrica.com
Labels:
Music
(News) Taarifa kutoka kwa baba mzazi wa marehemu LANGA KILEO
Baba wa marehemu Mzee Kileo amesema kuwa mtoto wake Langa kwenye picha
amefariki dunia leo majira ya saa 10 katika hospitali ya Taifa
Muhimbili.Taarifa kamili na mipango ya mazishi zitatolewa pale vikao vya
familia vitakapofanywa. Pia baba yake alisema msiba huu umetokea wakati
mama yake Langa hayupo Tanzania,alisema kwa sasa mama yake Langa yupo
Marekani lakini baada ya kupewa taarifa hizo tayari ameshakata tiketi ya
kurudi Tanzania na ataanza safari kesho.Msiba uko nyumbani kwao maeneo
ya Mikocheni
#RIP Aarif!
Subscribe to:
Posts (Atom)



































