Sunday, March 18, 2012
MSANII BLACK RHYNO ANAARAJIA KUWAAGA MASELA MWEZI JUNE.
Mtu mzima Black Rhyno aka Black Chata kwa sasa yupo katika vikao vya harusi yake ambayo anatarajia kufunga ndoa mwezi June tarehe 30 mwaka huu. Rhyno ambaye anaonekana pichani akiwa na shemeji yangu huyo anayekwenda kwa jina la Khadija Beatrice Mmbaga.
Mbali na vikao hivyo vya harusi vikiendelea Rhyno anatarajia kushoot video ya wimbo wake mpya unaoitwa TAKING OVA ambao unafanya vizuri kwa sasa katika radio station mbali mbali so anatafuta wadada warembo ambao wanaweza kuwepo katika video hiyo na kuifanya kuwa ya matawi ya juu kabisa. Kama unahitaji na upo kwenye mtandao wa jamii facebook unaweza kumtext anatumia jina la Black Rhyno
Labels:
BLACK RHYNO,
News
THE SAFARI LAGER NYAMA CHOMA FESTIVAL @KIJITONYAMA POSTAL GROUND YAFANA.
DJ Bonny Lov & Pretty Sinta aka JLo wa bongo
Bobby & Sinta
Tukijinoma noma aiseee....
Nikakutana na wadau wa djchoka blog...
Wazazi waliokuja na watoto wao kulikuwa na sehemu za michezo yakucheza huku wakila nyama lainiiiiiiii
Tisheti zenye nembo tofauti tofauti zilikuwa zikiuzwa viwanjani hapo
Prudence kutoka 5 Connect ya EATV & Marygoreth, ukitaka kupata story za Mary mcheki kupitia blog yake ya http://www.marygorethrichard.blogspot.com/
DJ Bonny Lov kwa mtambo akiwarusha watu waliokuja kula nyama choma, kati ya madj ambao wakiwa wanapiga mziki Tanzania na nabaki nikitoa macho ni huyu braza. Nakuheshimu sana bro na nakupenda sana
Labels:
Events
Saturday, March 17, 2012
new song by KIZO-B FT SPACK
hello how are u doin' im KIZO-B from Nairobi..
I thank u all for supporting me with my music
asanteni sana na mungu awabariki,,
nimerudi tena na huu wimbo wangu mpya
nikiwa nimemshirikisha Spack Muimbaji kutoka tz."KANANIPENDA"
ndio jina la wimbo ambao unapatikana kwa album yangu mpya"Chanzo"...
naomba msaada wenu ndio niweze kufanikisha kazi zangu
Asante sana na mbarikiwe...KIZO-B
Labels:
Music
Friday, March 16, 2012
It’s MSETO time!
Brace yourself for the HOTTEST East African videos as we count down MSETO EA TOP 6 videos :: Q TY has a BRAND NEW video but who will be on the TOP 6 CHAT? Who will be IN or OUT of the TOP 6 videos? Find out on CITIZEN TV when MSETO EAST AFRICA takes over the airwaves :: SUPPORT MSETO in this year's CHAGUO LA TEENIEZ> Text BRS 4 to 5358 to VOTE for MAMBO MSETO, Text RP 2 to 5358 to vote for MZAZI WILLY M. TUVA and TW 1 to 5358 for DJ FLASH :: You can also VOTE ONLINE> Log on to theinsyder.com/chaguo < DJ FLASH is on the MIX :: Watch MSETO and experience EAST AFRICA!
Labels:
Mseto East Africa,
Mzazi Tuva,
News
WANAFUNZI WA UDOM WAFANYA ZIARA KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA VIWANDANI ILIYOPO DODOMA MJINI NA KUKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA USAFI LEO
Mmoja wa Wanafunzi Wa Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) akishusha Baadhi ya vifaa vya kufanyia usafi wakati wanafunzi wa UDOM walipowasili Shule ya Sekondari ya Viwandani iliyopo Manispaa ya Dodoma Mjini mchana wa leo
Mwanafunzi Wa Chuo Kikuu Cha Dodoma Areman Kaziguto (mwenye fulana nyeupe) akitoa maelezo machache mbele ya wanafunzi wa shule ya sekondari ya viwandani iliyopo manispaa ya Dodoma mjini ambapo wanafunzi wa UDOM leo walifanya ziara na kukabidhi msaada wa vifaa vya kufanyia Usafi
Wanafunzi wa Klabu ya Mazingira ya Shule ya Sekondari ya Viwandani iliyopo mjini Dodoma wakisikiliza kwa makini baadhi ya maelezo kutoka Kwa Mmoja wa Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) mchana wa leo.
Baadhi ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Dodoma wakiwa makini kusikiliza Wanafunzi wa Klabu ya Mazingira Wakichangia Madambalimbali kuhusu Umuhimu wa Kutunza mazingira wakati walipotembelewa na Wanafunzi kutoka Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) leo mchana
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Viwandani ambao ni wanachama wa klabu ya mazingira shule hapo wakiwa makini kusikiliza somo lililotolewa juu ya umuhimu wa kutunza mazingira mchana wa leo
Picha hapo juu ni Mwanafunzi wa UDOM Josephat Lukaza akitoa Maelezo jinsi ya matumizi sahihi ya vifaa vya kufanyia na kutunzia uchafu kwa wanafunzi wa klabu ya mazingira ya shule ya sekondari ya viwandani iliyopo Dodoma mjini
Mwenyekiti Wa Klabu ya Mazingira ya Shule ya Sekondari ya Viwandani Idrisa Ramadhani akitoa shukrani kwa wanafunzi wa UDOM waliotembelea shuleni hapo na kutoa msaada wa vifaa vya kufanyia usafi
Mwalimu wa Klabu ya Mazingira ya Shule ya Sekondari ya Viwandani Bi Ester Bahati akitoa shukrani za dhati kwa wanafunzi wa UDOM waliotembelea Shule hiyo na Kutoa Misaada ya Vifaa vya Kufanyia Usafi leo Mchana
Wanafunzi wa Klabu ya Mazingira ya Shule ya Sekondari ya Viwandani iliyopo kwenye manispaa ya Dodoma wakiwa katika Picha ya Pamoja na baadhi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Dodoma(UDOM) waliotembelea Shule hiyo Mchana wa leo.Picha Zote na Josephat Lukaza wa Lukaza Blog - http://josephatlukaza.blogspot.com
Labels:
News
Ngoma Africa band with Extraordinary Rhythm from East Africa takes Over Europe by strom !
The Ngoma Africa Band, a Tanzanian rope formed in Germany, led and founded in a year 1993 by Tanzanian innate code glow musician and afro-pop star Ebrahim Makunja aka Ras Ebby Makunja has taken Europe by a charge with a colourful sound. The Ngoma Africa rope have been named several times as a best and many wanted rope in general festivals since of their unusual stroke “Bongo Dance” from Tanzania, East Africa… a stroke always sends fans crazy during festivals that creates a Ngoma Africa rope to be a series one African best rope formed in Europe! Most of their songs are created in several East African languages though many are in “Kiswahili” a oral denunciation in Tanzania and beside East African countries. Ngoma Africa rope have a series of gifted musicians, among them is multi-talented musician soloist Christian Bakotessa aka Chris-B, others are Said “Jazbo” Vuai, Severn okomo, Maxime Vayituma, Bedi Beraca, and Prince Zongolo etc… Ngoma Africa rope has been named “The Golden Voice Of Africa.” It is a rope certain to fit in any festivals. You might listen to them during www.ngoma-africa.com or www.facebook.com/ngomaafrica
Labels:
News
Mkazi wa Muheza Tanga Akabithiwa Million 30 za Nani Mkali ya Airtel
Mshindi wa million 30 wa droo wa mwenzi Nani Mkali ya Airtel Bw. Abdi
Mohamed akiongea mara baada ya kukabidhiwa shilling millioni 30
baada ya kuibuka mshindi wa kwanza wa mwenze wa promosheni ya Nani
Mkali ,kutoka kushoto ni Afisa Uhusiano wakampuni ya Airtel Bi.Jane
Matinde na wa pili ni Ofisa mahusiano wa Kampuni ya simu ya Airtel Bi
Dangio Kaniki .
Afisa uhusiano wa Airtel Jane Matinde akimkabidhi mshindi wa milioni
30 wa promosheni ya Nani Mkali Bwana Abdi Ibrahim Mohamed aliyeibuka
mshindi wa kwanza wa mwenzi katika promosheni ya Nani mkali
inayoendelea na kuwapa wateja wa Airtel nafasi ya kujishindia pesa
taslim. Akishuhudia katikati ni Ofisa mahusiano wa Kampuni ya simu ya
Airtel Bi Dangio Kaniki .
Afisa uhusiano wa Airtel Jane Matinde akimkabidhi mshindi wa milioni
30 wa promosheni ya Nani Mkali Bwana Abdi Ibrahim Mohamed aliyeibuka
mshindi wa kwanza wa mwenzi katika promosheni ya Nani mkali
inayoendelea na kuwapa wateja wa Airtel nafasi ya kujishindia pesa
taslim. Akishuhudia katikati ni Ofisa mahusiano wa Kampuni ya simu ya
Airtel Bi Dangio Kaniki .
Ofisi Mawasiliano wa Airtel Bi Dangio Kaniki, Akiongea na waandishi wa
habari ( hawapo pichani) wakati wa kumtangaza na kumkabidhi mshindi
wa mwenzi wa milioni 30 wa promosheni ya Nani Mkali ambapo bwana Abdi
Ibrahim Mohamed Mkazi wa Muheza Tanga (aliyepo pichani ) kuibuka
mshindi wa kitita cha milioni 30 pesa taslimu.
habari ( hawapo pichani) wakati wa kumtangaza na kumkabidhi mshindi
wa mwenzi wa milioni 30 wa promosheni ya Nani Mkali ambapo bwana Abdi
Ibrahim Mohamed Mkazi wa Muheza Tanga (aliyepo pichani ) kuibuka
mshindi wa kitita cha milioni 30 pesa taslimu.
* Ni mshindi wa mwenzi wa promosheni ya Nani Mkali akabithiwa kitita chake
16, Machi 2012 Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel inayotoa huduma
nafuu na yenye wigo mpana zaidi wa mawasiliano, leo imemzawadia
mshindi wa kwanza wa mwenzi wa promosheni ya "Nani Mkali" Bwana Mkali
Abdi Ibrahim Mohamed mkazi wa Muheza Tanga pesa taslimu shilling
milioni 30.
Akiongea wakati wa kukabithi zawadi hizo Ofisa Mawasiliano wa Airtel
Bi Dangio Kaniki alisema" leo tunayofuraha kumtangaza mshindi wa
mwenzi wa shilingi million 30 bwana Mkali Abdi Ibrahim Mohamed ambaye
amejishindia katika promsheni yetu inayoendelea ya nani Mkali. Kama
mnavyofahamu tumekuwa tukitangaza washindi wa siku na wa wiki, Airtel
bado inawapa nafasi nyingine watanzania kushiriki na Kushinda fedha
taslimu zaidi ya shilingi milioni 200,kwa washindi 110 watakaopatikana
kila siku, kila wiki na kila mwezi katika promosheni yetu kabambe ya
Nani Mkali".
Tunaendelea kuwajali na kuwazawadia wateja wetu nchi nzima kuhakikisha
washindi wengi wanapatikana, ili kujiunga na "Nani Mkali", mteja
anatakiwa kuandika neno "Mkali" na kutuma kwenye namba 15656 bure
kabisa. Baada ya hapo atatumiwa maswali na kila atakapo toa jibu
sahihi atapata pointi 20 na jibu lisilo sahihi pointi 10.Kila ujumbe
wenye jibu utatozwa shillingi 350 pamoja na kodi.aliongeza Kaniki.
Akiongea mara baada ya kukabithiwa zawadi hiyo Bwana Abdi Ibrahim
Mohamed alisema" nachukua fulsa hii kuwashukuru kampuni ya simu za
mkononi ya Airtel kwa kuanzisha promosheni hii na najisikia furaha
kuibuka Mkali wa Airtel na kujishindia pesa taslimu shilling milion30
leo hii.
Napenda kutoa wito kwa wateja wa Airtel kushiriki na wale ambao
hawajajiunga kushiriki na kuibuka washindi kama nilivyojishindia leo,
kila mmoja ananafasi ya kushiriki na Kushinda kama mimi nimeshinda
toka Tanga wilayani muheza hii inaonyesha wazi kuwa nafasi ipo kubwa
kwa kila mtanzania Kushinda awe wa mjini au vijijini.
END
16, Machi 2012 Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel inayotoa huduma
nafuu na yenye wigo mpana zaidi wa mawasiliano, leo imemzawadia
mshindi wa kwanza wa mwenzi wa promosheni ya "Nani Mkali" Bwana Mkali
Abdi Ibrahim Mohamed mkazi wa Muheza Tanga pesa taslimu shilling
milioni 30.
Akiongea wakati wa kukabithi zawadi hizo Ofisa Mawasiliano wa Airtel
Bi Dangio Kaniki alisema" leo tunayofuraha kumtangaza mshindi wa
mwenzi wa shilingi million 30 bwana Mkali Abdi Ibrahim Mohamed ambaye
amejishindia katika promsheni yetu inayoendelea ya nani Mkali. Kama
mnavyofahamu tumekuwa tukitangaza washindi wa siku na wa wiki, Airtel
bado inawapa nafasi nyingine watanzania kushiriki na Kushinda fedha
taslimu zaidi ya shilingi milioni 200,kwa washindi 110 watakaopatikana
kila siku, kila wiki na kila mwezi katika promosheni yetu kabambe ya
Nani Mkali".
Tunaendelea kuwajali na kuwazawadia wateja wetu nchi nzima kuhakikisha
washindi wengi wanapatikana, ili kujiunga na "Nani Mkali", mteja
anatakiwa kuandika neno "Mkali" na kutuma kwenye namba 15656 bure
kabisa. Baada ya hapo atatumiwa maswali na kila atakapo toa jibu
sahihi atapata pointi 20 na jibu lisilo sahihi pointi 10.Kila ujumbe
wenye jibu utatozwa shillingi 350 pamoja na kodi.aliongeza Kaniki.
Akiongea mara baada ya kukabithiwa zawadi hiyo Bwana Abdi Ibrahim
Mohamed alisema" nachukua fulsa hii kuwashukuru kampuni ya simu za
mkononi ya Airtel kwa kuanzisha promosheni hii na najisikia furaha
kuibuka Mkali wa Airtel na kujishindia pesa taslimu shilling milion30
leo hii.
Napenda kutoa wito kwa wateja wa Airtel kushiriki na wale ambao
hawajajiunga kushiriki na kuibuka washindi kama nilivyojishindia leo,
kila mmoja ananafasi ya kushiriki na Kushinda kama mimi nimeshinda
toka Tanga wilayani muheza hii inaonyesha wazi kuwa nafasi ipo kubwa
kwa kila mtanzania Kushinda awe wa mjini au vijijini.
END
Labels:
Airtel Tanzania,
News
Subscribe to:
Posts (Atom)






