22.11.13

Tuesday, March 06, 2012

MKE WA BEBE COOL ZUENA ANYOA NYWELE ILI KUCHANGIA WAGONJWA WA SARATANI

“Mwanamke anapokuwa mja mzito huwa na hamu ya vitu mbalimbali, hamu yangu ilikuwa kunyoa nywele na nimfurahia kuchangia kwa wagonjwa wa saratani wa Boston Children’s Cancer Unit. Sasa najisikia fresh,” alisema Zuena baada ya kunyoa nywele zake.
Zuena ambaye ana watoto wawili na anatarajia mapacha, amekuwa kwa Obama tangu mwezi December mwaka jana na tayari Bebe Cool amemtungia wimbo uitwao ‘Missing You.’ 

Zuena & Bebe CooL

1 comment:

Anonymous said...

unatuletea habari za kichoka sasa, sasa kunyoa nywele ndio nini...dont be silly