22.11.13

Monday, September 03, 2012

Mkome kunitongoza FACEBOOK nimeolewa "WITNESZ"

Taarifa maalum kwa wale wote wanaopenda kutongoza Facebook kwa upande wangu sipendi na sitaki kutongozwa kwa kuwa nimeolewa tayari na nina miaka miwili sasa toka niolewe so msijisumbue tafadhari na yeyote atakaye fanya hivyo kuanzia sasa nitalichukulia jambo hilo kama ni kitendo cha dharau na kublock huyu mtu ikiwezekana kulianika hadharani jina lake ninawaheshimu wote na kuwachukulia kama kaka zangu na mashabiki zangu pia, much love!

3 comments:

Anonymous said...

kama Hutaki kutongozwa basi toka facebook

Anonymous said...

Sasa anamwambia nani wakati yy kajianika juan

Anonymous said...

hapo chacha. huyo nae!?.