22.11.13

Saturday, September 15, 2012

WATAMBUE WASANII WALIOPATA BAHATI YA KUTEMBELEA PILIPILI FM MOMBASA-KENYA

Msanii Collo aka King wa Rap kutoka Nairobi yeye pia alipata bahati yakupita Pilipili FM 

Jua Kali msanii kutoka Nairobi

Offside Trick kutoka Zanzibar Tanzania nao walishawahi kupita Pilipili FM

 Muonekano wa ndani ya Pilipili FM

Sam wa Ukweli kutoka Dar es Salaam 

TINAH NA DJ BRYOH hawa ni watangazaji wa Pilipili FM kipindi cha X6 Alasiri kila siku saa kumi hadi saa moja usiku. Halafu DJ Brayo utampata tena kwenye kipindi cha KUMI BORA kila Jumamosi saa nne hadi saa saba mchana

Bryoh, Chege, Dogo Asley, Mh Temba na Tinah 

 Ukoo Flani Mau Mau kutoka Nairobi 

Z-Anto kutoka Tanzania alipata nafasi yakupita Pilipili FM

Hii ilikuwa siku ya ufunguzi wa radio hiyo ya Pilipili FM

For more info visit www.pilipilifm.com

No comments: