22.11.13

Thursday, January 03, 2013

Mh: Joseph Mbilinyi mbunge wa MBEYA Mjini kesho atafungua IZZO BIZNESS INTERNET CAFE Mbeya.

Kesho mungu akisaidia ntafanya ufunguzi rasmi wa Internet cafe yangu iliyopo MBEYA chuo Cha Teofilo kisanji(TEKU) NA Mgeni rasmi atakuwa MH:Joseph mbilinyi mbunge wa mbeya...

Kama uko MBEYA na unataka kushuhudia uzinduzi wa ufunguzi wa Internet cafe yangu iliyopo chuo Cha teku MBEYA utakaofanywa na Mh: Joseph Mbilinyi mbunge wa MBEYA Mjini unaweza kuja hakuna kiingilio muda ni saa Nane Mchana...karibuni

No comments: