22.11.13

Wednesday, March 13, 2013

HAPPY B,DAY MWANA FA

Leo ni siku ya kuzaliwa msanii wa Hip Hop hapa Bongo Mwana FA, hii ilikuwa jana usiku pande za Element baada ya jamaa kuyaoga maji ipasavyo hahahaa akiwa na washkaji zake tena bila hurumaaaa hii tunaitaga #teamNDOO 

Pande hizo bwana soda huuzwa bei ghali kidogo lakini AY akaona hapana angalau amwagiwe kidogo si mbaya kuikumbuka siku hiyo hahhaaa 

Picture kwa hisani ya GongaMx

1 comment:

Anonymous said...

Happy birthday bro!