22.11.13

Friday, March 08, 2013

SAFARI LAGER NYAMA CHOMA COMPETITION - DAR FINALS @LEADERS CLUB

 
SAFARI LAGER NYAMA CHOMA DAR FINALS
Sunday, 10 March 2013 – Leaders Club Grounds.



  • Kwa mara nyingine tena, Safari Lager inakukaribisha kushuhudia mchuano wa mwisho kuona ni Bar ipi inayochoma nyama Bomba zaidi jijini Dar Es Salaam!.

  • Ni Jumapili hii tarehe 10 March, katika viwanja vya Leaders Club kuanzia saa 4.00asbh hadi saa 12 jioni.

  • Njoo ushuhudie bar zilizoingia fainali zikichuana kukupa Nyama Choma Bomba zaidi;
    • FYATANGA BAR - BOKO,
    • SOCCER CITY BAR – SINZA,
    • ASSENGA PUB - BUGURUNI,
    • UHAKIKA PUB – MTONI KIJICHI na
    • TITANIC BAR – VINGUNGUTI.

Washindi watajipatia zawadi zaidi ya shilingi milioni nne!.

  • Njoo uburudike kwa aina tofauti za nyama choma, kuanzia mapande hadi mishkaki, nyama za Kuku, Ng’ombe na Mbuzi!!. Chachandu, Kachumbari, pilipili, ndimu nk.. vitakuwepo.

  • Kutakuwa na zawadi kibao kutoka Safari Lager, burudani za wasanii mbalimbali, na kufunga kazi jukwaani watakuwepo The African Stars Band, wana Twanga Pepeta!!..

  • Tamasha la Safari Lager Nyama Choma jumapili hii pale leaders Club ni BURE, hakuna Kiingilio!.

  • Bila Safari Lager, Nyama Choma Haijakamilika!!..

No comments: