22.11.13

Saturday, June 01, 2013

(News) TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI


Kamati ya msiba tunaomba kutoa ya taarifa kwamba mwili wa Ndugu yetu Albert Mangwea hautoweza kufika siku ya jumapili ya tarehe 2/06/2013 kama ilivyo taarifa hapo awali, hii ni kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wetu.

 Kwa sasa tunasubiri taarifa kamili kutoka kwa wenzetu/wawakilishi wetu waliopo nchini Afrika Kusini, mara tutakapopata taarifa hizo tutawafahamisha zaidi.

 Tunaomba radhi watanzania wote kwa usumbufu wote  uliojitokeza tushirikiane na uvumilivu kwa hili.

No comments: