22.11.13

Friday, July 19, 2013

(News) DIRECTOR "JOHN KALLAGHE" ALIFANYA KWA TID, JAY DEE, MATONYA NA SASA KWA "AMA G"?

 
Pichani ni Ama G pamoja na Dir John Kallaghe
 
Muandaaji wa video wa kampuni ya kalla pics amejikuta akikataa au kuzungusha kukabidhi video mpya ya msanii AMA G ambaye alifanya poa kupitia video ya NENDA SALAMA siku za hivi karibuni,kichupa hicho kipya cha AMA G kilifanyika miezi kadhaa(5) iliyopita chini ya kampuni ya KALLAPICS kutokana na sababu ambazo hadi sasa hazijafahamika,kwa nini iwe kila siku kallage? Ama G alidai hatopenda kuliweka bayana jambo hili lakini liko katika vyombo vya dola anachotakiwa kufanya ni kumtafuta director huyo na kumfikisha panapostahili ili aweze kurudisha gharama zote ikiwemo na muda! pia alidai ataliweka wazi jambo hili ndani ya siku chache zijazo.

No comments: