22.11.13

Saturday, July 27, 2013

(News) H.BABA kuachia nyimbo mbili "POPO & FUNGA ZIPU"

Mkali wa stage Afrika mashariki na kati H.BABA anatarajia kuachia ngoma mbili kwa style tofauti .moja kwa jina la POPO yupo na Hussein Machozi na Linex Sunday Mjeda VOA na ingine FUNGA ZIPU yupo na ALLY NIPISHE, KANNAL TOP, SONY MASAMBA. H.Baba anakauli mbiu yake ya jukwaa halina promo . 
Sababu yakutoa ngoma mbili ni kutokana na maombi ya mashabiki siku alipofunika show uwanja wa taifa. Nakusema Naheshimu mashabiki wangu kwani wao ndo maboc zangu mie kibalaka wao wao ndo waamuzi wa mwisho bila wao akuna H.BABA

No comments: