Afisa wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini,Bw.Bakari
Maggid akiweka karatasi zenye majina ya washiriki wa Promosheni ya lipa kwa M pesa na Ushinde ukiwa Sabasaba na kujishindia zawadi ya shilingi Elfu 40 sanjari na muda
wa maongezi wa shilingi 1000 kila siku
ambapo washindi watano walipatikana,Promosheni hiyo inaendeshwa na Vodacom
Tanzania wengine wanaoshuhudia toka
kushoto ni Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania Matina Nkurlu.
Mmoja wa wawakilishi wa Vodacom Tanzania Jayles Joel akizungusha gurudumu lenye karatasi zenye majina washiriki wa Promosheni lipa kwa M pesa na ushinde ukiwa Sabasaba na kujishindia zawadi ya shilingi elfu 40 sanjari na muda
wa maongezi wa shilingi 1000 kila siku ambapo washindi watano walipatikana,Promosheni
hiyo inaendeshwa na Vodacom Tanzania,wanaoshuhudia toka kushoto ni Meneja
Uhusiano wa kampuni hiyo Matina Nkurlu na Afisa wa bodi ya michezo ya
kubahatisha nchini,Bw.Bakari Maggid.
Mkazi wa jijini
Dares Salaam Bi.Khadija Abdallah (kushoto) akishuhudiwa na Meneja
Uhusiano wa Vodacom Tanzania Bw. Matina Nkurlu wapili toka kushoto na Afisa
wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini,Bw.Bakari Maggid akichukua karata
yenye jina la mshindi wa kwanza kati ya washindi watano waliojishindia
shilingili elfu 40 sanjari na muda wa maongezi wa shilingi 1000 kila mmoja katika promosheni ya fanya malipo kwa huduma ya
M PESA ukiwa Sabasaba.
Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania Matina Nkurlu
akiongea na baadhi ya waandishi wa habari wakati wa kuchezesha droo ya lipa kwa M pesa na Ushinde ukiwa Sabasaba ambapo washindi watano walipatikana na
kujishindia shilingi elfu 40 kila mmoja sanjari na muda wa maongezi wa shilingi
1000 kila siku.
Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania Bw.Matina Nkurlu
akiongea kwenye simu na mmoja kati ya washindi watano waliojishindia shilingi
elfu 40 kila mmoja kwenye droo ya lipa kwa M pesa na Ushinde ukiwa Sabasaba sanjari
na muda wa maongezi wa shilingi 1000 kila siku.
Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania Matina Nkurlu
akimpigia simu mmoja kati ya washindi watano waliojishindia shilingi elfu 40
kila mmoja kwenye kupitia promosheni ya lipa kwa M pesa na ushinde ukiwa Sabasaba sanjari
na muda wa maongezi wa shilingi 1000 kila siku.
No comments:
Post a Comment