22.11.13

Monday, August 12, 2013

Coming Soon - Pombe Yangu Imemwagika

Pewa Abagenge atakuawa anawachia bonge la club banger muda
wowote kuanzia leo
unaenda kwa jina POMBE YANGU IMEMWAGIKA. Ngoma hii inatarajiwa kufanya
vizuri zaidi
ya ngoma zake zingine kwa vile amekuja na mtindo mwingine tofauti wa
kurap. Stay tuned
hapa hapa na utakuwa wa kwanza kuiskiza goma hilo. Asanta.

No comments: