Baada
ya mapumziko ya uzazi, sasa narejea kwa kishindo ndani ya kipindi hiki
pendwa cha Wanawake Live... Maoni yako ya Wanawakelive kusambaa maeneo
mbalimbali ya Tanzania yamefanyiwa kazi, so nakuja huko huko uliko si
Dar tu na Vijijini zamu yenu imefika...Endelea kutazama kipindi chako
cha ukweee, inaweza kuwa ni maeneo yako unayoishi au kijiji ulichotoka
nitapita Insh allah Mungu atupe uhai na wadau wa kushirikiana nao. ila
lengo na madhumuni ni kufika sehemu kubwa ya Tanzania na kubadilishana
uzoefu kwa maendeleo ya mwanamke wa Tanzania.
Huu ndo muonekano wenyewe wa Joyce Kiria Wanawake Live...eeeeh Super Woman Mwenyewe |
Msimu
huu mpya wa tatu unaanza rasmi tarehe 20/August/2013 .Kama kawaida muda
na siku ile ile ..Ni siku ya Jumanne saa tatu kamili usiku ndani ya
kituo chako cha kijanja EATV Pekee!
No comments:
Post a Comment